NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Ni wajibu wa viongozi wa dini kuhudumia kiroho jamii ama mikusanyiko yoyote,ila sio wajibu wa viongozi wa dini kuitisha maandamano na kuvuruga amani tena kipindi hiki cha mapambano dhidi ya Corona.Mbona viongozi wa dini wakishiriki mikutano ya Ccm hamsemi?
Hofu......Hana hekima kwa kudai katiba mpya? Wenye hekima ni wanaotaka rais aongezewe muda wa kukaa madarakani kinyume na katiba? Hapo Askofu ndio ameshatibua mahesabu yote ya kujiongezea muda wa kukaa madarakani. Mlitamani kusiwepo mtu wa kudai katiba mpya, ili muandae maigizo ya kujifanya mnamshinikiza jiwe aendelee kukaa madarakani,basi ile hoja iliyokuwa imefukiwa ya katiba mpya imefufuliwa tena.
Tutamtetea kwa nguvu zote. Katiba ya 1977 ni janga kwa TaifaUsishirikishe Taifa kwenye ujinga.Mamakula ajitetee mwenyewe tuna matatizo mengi sana hayo ajinasue tu
Utaandamana kumuunga mkono Askofu au ndio ushamaliza maandamano humu kwa keyboard?Kwa hiili, Mambosasa ameonyesha utopolo mkubwa na kutumiwa na mamlaka za juu. Ule msemo "akili za kuambiwa changanya na za kwako" ndiyo mahali pake. Mambosasa hajachanganya akili zake. Sasa WaTZ watamsaidia kuzichanganya. Mwisho wa uzuzu wa uRPC wake utachagizwa na tukio hili.
Wajinga design yako mmejaa Tanzania ndiyo maana nchi inaitwa shithole. Akili zimejaa mavi tuUsishirikishe Taifa kwenye ujinga.Mamakula ajitetee mwenyewe tuna matatizo mengi sana hayo ajinasue tu
Kwa nini umechangia huu mjadala?Unamtetea mtu anayejificha kwenye dini ilihali akifanya siasa chafu? Huyo siyo askofu. Hana tofauti na nabii Tito. Tena afungwe miaka isiyopungua 30 kwa kuhatarisha usalama wa Nchi. Kuna mtu alikjwa nacho uingereza anakifahamu vyema. Mi puppet wa wazungu hana issue afungwe tu.
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Ana haki ya kukueleza ukweliKwa nini umechangia huu mjadala?
Mwamakula siyo askofu ni mhuni fungeni kabisa. Anatakiwa awajulishe na hao wanaomtuma kuwa serikali iko macho.Siasa na dini
Usanii mtupu
Kwa kosa gani? Wapi umeona dalili za kuvunjika amani toka aanze maanadalizi ya maandamano?Nani? Mwache akalipie zambi zake. Afunzwe adabu bado wewe