Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Duh...!Unamtetea mtu anayejificha kwenye dini ilihali akifanya siasa chafu? Huyo siyo askofu. Hana tofauti na nabii Tito. Tena afungwe miaka isiyopungua 30 kwa kuhatarisha usalama wa Nchi. Kuna mtu alikjwa nacho uingereza anakifahamu vyema. Mi puppet wa wazungu hana issue afungwe tu.
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Katiba ya kanisa lake inasemaje kuhusu kazi yake ya uaskofu? Inatamka kuwa kazi yake ni ni kuandaa maandamano ya kisiasa? Tuanzie hapo kwenye katiba ya kanisa lakeKuandaa maandamano ya hiari kudai katiba ni kosa? Maandamano aliyoandaa yanahatarisha amani?
unajua hata jengo lao lilipo? Huyo Mwamakula hana waumini!!!Morovian uamsho
Habari ya katiba ya kanisa lake inahusika vipi?Katiba ya kanisa lake inasemaje kuhusu kazi yake ya uaskofu? Inatamka kuwa kazi yake ni ni kuandaa maandamano ya kisiasa? Tuanzie hapo kwenye katiba ya kanisa lake
Acha kutujaza UPUMBAVU wako.Taratibu, hapa hoja ya msingi askofu aachiwe.
Huwa wanaitwa tu kuombea mkutano na kujiondokea zao .Ulishawahi wasikia wakiandaa maandamano?Mbona viongozi wa dini wakishiriki mikutano ya Ccm hamsemi?
Wewe una Hekima eti eh! Mavi kichwani wewe! huna maana! Hekima ni hadi kumvulia magu nguo ya ndani akupige mkia wewe bata mzinga kweli!Yaani Taifa zima lipaze sauti kwaajili ya mpuuzi mmoja asiye na hekima?
Kwa hiyo wao kama hawataki mabadiliko ndio wengine wasitake?Huwa wanaitwa tu kuombea mkutano na kujiondokea zao .Ulishawahi wasikia wakiandaa maandamano?
Serekali inatengeneza Al Shabab and the likes kwa kujua au kutokujua.Taifa zima lipaze sauti mpaka wanaofanya uonevu waone aibu.
Kuanzia Masheikh, Maaskofu na Wachungaji, Wafugaji na Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi. Kesho kwa pamoja tupaze sauti kubwa Mtanzania mwenzetu mpenda haki aachiwe tena akiwa mzima wa afya.
Kuandaa maandamano ya hiari kudai katiba ni kosa? Maandamano aliyoandaa yanahatarisha amani?
Katiba ya JMT ibara ya 21(2) ipo wazi kila mtanzania anayo haki kushiriki masuala ya kitaifa ambayo yanamanufaa kwa umma.
Kwa kuandaa maanadamano ya hiari na ya amani kuna kosa?
Kama kuna hatari au uvunjifu wa amani, mbona hatujaambiwa kama taarifa za intelijensia zimebaini hatari yoyote?
Bishop Mwamakula aachiwe bila mashariti wala madhara.
Kaulize wale ALSHABABU wa Mkuranga ,Kibiti na Rufiji nini kiliwakutaSerekali inatengeneza Al Shabab and the likes kwa kujua au kutokujua.
Haya bana!!
Sijui!Kaulize wale ALSHABABU wa Mkuranga ,Kibiti na Rufiji nini kiliwakuta
Kwani wale mashehe ni mwaka wa ngapi na mmenyamaza kimyaaaaa.Taratibu, hapa hoja ya msingi askofu aachiwe. Akiwa salama bila mashariti.
Askofu wa kanisa gani huyo anaacha kazi ya Mungu anahamasisha maandamano.Taifa zima lipaze sauti mpaka wanaofanya uonevu waone aibu.
Kuanzia Masheikh, Maaskofu na Wachungaji, Wafugaji na Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi. Kesho kwa pamoja tupaze sauti kubwa Mtanzania mwenzetu mpenda haki aachiwe tena akiwa mzima wa afya.
Kuandaa maandamano ya hiari kudai katiba ni kosa? Maandamano aliyoandaa yanahatarisha amani?
Katiba ya JMT ibara ya 21(2) ipo wazi kila mtanzania anayo haki kushiriki masuala ya kitaifa ambayo yanamanufaa kwa umma.
Kwa kuandaa maanadamano ya hiari na ya amani kuna kosa?
Kama kuna hatari au uvunjifu wa amani, mbona hatujaambiwa kama taarifa za intelijensia zimebaini hatari yoyote?
Bishop Mwamakula aachiwe bila mashariti wala madhara.
Haijalishi dhehebu lake,unataka kutugawa ili mjipatie uhalali?Akiwa ni Askofu au siyo Askofu bado anahaki ya kutoa maoni yake kama Mtanzania.Kudai Katiba Mpya siyo kosa kama nchi yetu ingekuwa na demokrasia ila kwa sababu sasa hivi tupo kwenye mfumo wa ....Ni askofu wa dhehebu gani?
Akili itakukaa sawa tu upende usipende.Wewe una Hekima eti eh! Mavi kichwani wewe! huna maana! Hekima ni hadi kumvulia magu nguo ya ndani akupige mkia wewe bata mzinga kweli!
Ishu ya masheikh na ishu ya Askofu vipo sawa?Kwani wale mashehe ni mwaka wa ngapi na mmenyamaza kimyaaaaa.
Acha ujingaNi askofu wa dhehebu gani?