affinitytz
JF-Expert Member
- Feb 10, 2020
- 216
- 1,007
Tanzania ingekuwa Daladala kwa yanayotokea Watu wengi wangeshukaInakuwaje taifa ambalo toka limepata uhuru uhaba wa madarasa, maji na huduma za afya ni jambo la kawaida, umaskini mkubwa kwa raia wake ni jambo la kawaida halafu bado linakuwa na sheria ambayo ilitungwa na Bunge kuhudumia na kulipa mafao viongozi wakuu wa kisiasa waliostaafu?
Inaingia akilini kumlipa mafao ya kumjengea majumba ya kifahari Rais au Waziri Mkuu ambae alishawahi kuhudumu serikalini zaidi ya miaka ishirini?
Kama Taifa linalojali wananchi wake kwanini hizi pesa zisitumike kuimarisha huduma za afya, elimu na miundombinu ili kuondoa umaskini?
Mtu alihudumu kama waziri kwa miaka ishirini, kisha anakuwa Rais kwa miaka kumi bado tu anahitaji nyumba na gari ya bure? Tena ya mabilioni ya shilingi? Kwa nini asijenge kwa mshahara wake?
My take: Kuna sheria zingine hazifai kuwepo kwenye nchi kama hii ambayo bado sana ipo nyuma kimaendeleo.
Twendeni na Katiba Mpya itakayozaa Tume Huru ya uchaguzi na hatimaye wabunge wengi wa upinzani. Sheria kama hizi hazitapita. Lakini Mkuu chagu wa malunde wewe ulikuwa mtetezi sana wa uvunjaji katiba wakati wa Mwendazake. Maana wakati JK anatoka Upinzani ulikuwa na angalao 1/3 ya viti bungeni. Lakini kwa wizi wa kura za 2020 upinzani una kiti kimoja cha Nkansi.Inakuwaje taifa ambalo toka limepata uhuru uhaba wa madarasa, maji na huduma za afya ni jambo la kawaida, umaskini mkubwa kwa raia wake ni jambo la kawaida halafu bado linakuwa na sheria ambayo ilitungwa na Bunge kuhudumia na kulipa mafao viongozi wakuu wa kisiasa waliostaafu?
Inaingia akilini kumlipa mafao ya kumjengea majumba ya kifahari Rais au Waziri Mkuu ambae alishawahi kuhudumu serikalini zaidi ya miaka ishirini?
Kama Taifa linalojali wananchi wake kwanini hizi pesa zisitumike kuimarisha huduma za afya, elimu na miundombinu ili kuondoa umaskini?
Mtu alihudumu kama waziri kwa miaka ishirini, kisha anakuwa Rais kwa miaka kumi bado tu anahitaji nyumba na gari ya bure? Tena ya mabilioni ya shilingi? Kwa nini asijenge kwa mshahara wake?
My take: Kuna sheria zingine hazifai kuwepo kwenye nchi kama hii ambayo bado sana ipo nyuma kimaendeleo.
Viongozi wa Africa hawapo kwa ajili ya kutumikia wananchi wapo ajili ya kupiga pesa. OverInakuwaje taifa ambalo toka limepata uhuru uhaba wa madarasa, maji na huduma za afya ni jambo la kawaida, umaskini mkubwa kwa raia wake ni jambo la kawaida halafu bado linakuwa na sheria ambayo ilitungwa na Bunge kuhudumia na kulipa mafao viongozi wakuu wa kisiasa waliostaafu?
Inaingia akilini kumlipa mafao ya kumjengea majumba ya kifahari Rais au Waziri Mkuu ambae alishawahi kuhudumu serikalini zaidi ya miaka ishirini?
Kama Taifa linalojali wananchi wake kwanini hizi pesa zisitumike kuimarisha huduma za afya, elimu na miundombinu ili kuondoa umaskini?
Mtu alihudumu kama waziri kwa miaka ishirini, kisha anakuwa Rais kwa miaka kumi bado tu anahitaji nyumba na gari ya bure? Tena ya mabilioni ya shilingi? Kwa nini asijenge kwa mshahara wake?
My take: Kuna sheria zingine hazifai kuwepo kwenye nchi kama hii ambayo bado sana ipo nyuma kimaendeleo.
Ahaaa, ndugu unanifanya nicheke bure. Kwani sheria kama hii isiofaa inawaletea mizengwe wachaga pekee au wasukuma? Jaribu kuwa na busara hata kidogo.Juzi wakati dhalimu yuko hai ulikuwa unasifia kila kitu, kafariki dhalimu unapinga kile kile alichokuwa anakifanya kisa hakifanywi na kiongozi wa kisukuma. Hebu tulia ww maana ni mnafiki wa nguvu.
Fuatilia post zangu huko nyuma sipendi kabisa uvunjifu wa katiba ya JMT. Labda umechanganya mambo. Habari ya matokeo ya uchaguzi wa mwaka jana ni ishu ambayo mpaka sasa zimebaki stori za kusadikika.Twendeni na Katiba Mpya itakayozaa Tume Huru ya uchaguzi na hatimaye wabunge wengi wa upinzani. Sheria kama hizi hazitapita. Lakini Mkuu chagu wa malunde wewe ulikuwa mtetezi sana wa uvunjaji katiba wakati wa Mwendazake. Maana wakati JK anatoka Upinzani ulikuwa na angalao 1/3 ya viti bungeni. Lakini kwa wizi wa kura za 2020 upinzani una kiti kimoja cha Nkansi.
Ni ujinga wa kiwango cha bombadia....kisha mijitu inafurahia sheria za kinyonyaji hiZoInakuwaje taifa ambalo toka limepata uhuru uhaba wa madarasa, maji na huduma za afya ni jambo la kawaida, umaskini mkubwa kwa raia wake ni jambo la kawaida halafu bado linakuwa na sheria ambayo ilitungwa na Bunge kuhudumia na kulipa mafao viongozi wakuu wa kisiasa waliostaafu?
Inaingia akilini kumlipa mafao ya kumjengea majumba ya kifahari Rais au Waziri Mkuu ambae alishawahi kuhudumu serikalini zaidi ya miaka ishirini?
Kama Taifa linalojali wananchi wake kwanini hizi pesa zisitumike kuimarisha huduma za afya, elimu na miundombinu ili kuondoa umaskini?
Mtu alihudumu kama waziri kwa miaka ishirini, kisha anakuwa Rais kwa miaka kumi bado tu anahitaji nyumba na gari ya bure? Tena ya mabilioni ya shilingi? Kwa nini asijenge kwa mshahara wake?
My take: Kuna sheria zingine hazifai kuwepo kwenye nchi kama hii ambayo bado sana ipo nyuma kimaendeleo.
Njaa na unafiki ni hatari sana kwa ustawi wa taiga.Sheria zingekuwa zinatungwa na wenyeviti wa mitaa/ vijiji au madiwani hii nchi ingekuwa mbali sana,hawa Wabunge wetu fuata upepo shida tupu, wanaumiza meza tu. JPM walikuwa wanampigia makofi SSH wanampigia makofi hata akifanya tofauti na yale aliyopigiwa makofi JPM.
Njaa na unafiki ni hatari sana kwa ustawi wa taifa.Njaa na unafiki ni hatari sana kwa ustawi wa taiga.
Upo sawa.Njaa na unafiki ni hatari sana kwa ustawi wa taiga.
Kwa nini ziwe story za kusadikika na siyo matokeo halisi?Fuatilia post zangu huko nyuma sipendi kabisa uvunjifu wa katiba ya JMT. Labda umechanganya mambo. Habari ya matokeo ya uchaguzi wa mwaka jana ni ishu ambayo mpaka sasa zimebaki stori za kusadikika.
Ni kweli tindo huyu mtoa mada chagu wa malunde alikuwa ni CHAWA mkubwa wa Mwendazake, tena anaweza kukesha na wewe akikubishia na kukujibu kwa ajili ya yule Bwana. Leo amebadilika kiajabu sanaJuzi wakati dhalimu yuko hai ulikuwa unasifia kila kitu, kafariki dhalimu unapinga kile kile alichokuwa anakifanya kisa hakifanywi na kiongozi wa kisukuma. Hebu tulia ww maana ni mnafiki wa nguvu.
Kwa ukweli watz tumefanywa wote ni wajinga.haingii akilini kabisa kea watu wanaogharimiwa na serikali kila kitu bado wanapewa mahekalu mbona watumishi hawaongezewi mishahara?pesa za kujengeana majumba zipo za nyongeza za mishahara hakuna,madarasa hakuna,madawa hakuna,barabara hazijakamilika,watumishi hawatoshi,nk lkn bado fedha zetu zinafujwa ni hatari Sana katiba ni muhimu sana.Rais mstaafu anastahili hizi: 80% ya mshahara wa rais aliyepo madarakani; ofisi na wafanyakazi wanaolipwa na serikali; walinzi; gari; matibabu kokote duniani; diplomatic passport; air ticket kila mwaka kwenda popote anapotaka; and yet anajengewa hekalu!
Tunakosea sana tunapofananisha taifa letu na nchi kama Usa.Rais mstaafu anastahili hizi: 80% ya mshahara wa rais aliyepo madarakani; ofisi na wafanyakazi wanaolipwa na serikali; walinzi; gari; matibabu kokote duniani; diplomatic passport; air ticket kila mwaka kwenda popote anapotaka; and yet anajengewa hekalu!