Nyalutubwi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 573
- 172
OK. If that is the case you are right as no one else under this planet has the right to deliver such decision.Jecha from ZEC yes...is he not involved in this matter?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK. If that is the case you are right as no one else under this planet has the right to deliver such decision.Jecha from ZEC yes...is he not involved in this matter?
Timu za Taifa za Tanzania na Kenya zimetolewa kwenye hatua ya kufuzu kombe la dunia nchini Urusi-2018 kwa kufungwa ugenini kwenye mechi za marudiano. Taifa Stars ya Tanzania iliingia uwanjani jana dhidi ya Algeria wakiwa na akiba ya sare ya 2-2 kwenye mechi ya awali.
Taifa Stars ilizabwa mabao 7-0 katika mechi ya jana na kutupwa nje kwa jumla ya mabao 9-2. Kati ya sababu zilizowapoteza Taifa Stars ni kuimarika kwa kikosi cha Algeria,kwa kuwepo kwa Yacine Brahimi wa Porto ya Ureno,pamoja na kucheza pungufu baada ya Mudathir Yahya kulimwa kadi nyekundu. Pungufu kwa Algeria!? Algeria pia walipewa penati mbili nyepesi sana-za kupendelewa.
Kwa upande wa jirani zetu Harambee Stars ya Kenya,waliingia uwanjani kurudiana na Cape Verde wakiwa wameshinda bao 1-0 nyumbani. Jana walitandikwa mabao 2-0 na kusukumwa nje kwa jumla ya mabao 2-1. Harambee Stars imeponzwa na kucheza kwa kujihami na kutokuwa na msaidizi wa kueleweka wa Victor Wanyama kwenye kiungo. Cape Verde walicheza kwa nguvu kubwa.
Hayo yameisha, tugange yajayo
Hao Yanga na Azam bure kabisa!just a joke mkuu,nakumbuka enzi zile za Maximo tukibishana kuwa Yanga (Stars)imeifunga Burkina Faso!
wapigwe tu maana hakuna namna mtu unaambiwa usifanye hiki unafanya utapigwa tu
Are you refers Jecha of ZEC or another Jecha from FIFA?.
In 1956 Tanzania 0-9 Kenya.....leo Algeria 7- 0 Tanzania...baada ya miaka 50 tena tunapunguza idadi ya magoli....hivo kufikia level ya kuwin foreign games abroad itakuwa after 200 years to come...that's development🙉🙉🙉🙉🙉
Maghwangala hivi hujui humu ndani hata sisi wa division 5 nasi tumo.Usipate shida hata sisi tulitamani kusoma shule za watakatifu lakini ndiyo hivo wazazi wetu wameishia kulipa kodi ili ziwasomeshe akina Maghwangala kwenye shule za watakatifu.Hicho kiingereza sasa!
Watanzania wengi ni washamba japo wanajifanya muchknow,wengi walegevu japo wanajifanya wakakamavu,wengi wavivu kuanzia akili mpaka mwili.Kila jambo Watanzania nı kulalama tu hata hawajishughulıshı.Watu wanakaa vijiweni wanapga umbea na siasa!Kiufupi Watanzania hakuna eneo hata moja mnaweza ku-excel kwa tabia hz na sio tu mpira!Yani km Magufuli anaweza,aweke baadhi ya sheria pembeni ili hawa watu waswagwe kufanya kazı na waache mambo ya kipumbavu kwa nguvu.
Mimi siku zote huwa nasema makocha wazalendo wa kitanzania uwezo wao huwa mdogo lakini huwa wanataka kulazimishia mambo makubwa matokeo yake ndo 7-0
Tanzania kama tungekuwa tumepiga hatua kisoka tungeona mchango wa hawa makocha wazalendo lakini kwa hali hii ni sawa kumchukua mwalimu aliyefail mtihani akafundishe wanafunzi halafu mtegemee wanafunzi hao kufaulu.
Sasa Tanzania tunahitaji kocha wa kigeni mwenye rekodi nzuri ya ufundishaji na mwenye kukizi viwango vya kimataifa.
Tulimkata maximo
Tatizo kubwa hatuwekezi kwenye kuendeleza soka la watoto na vijana.