Taifa Star kufungwa, tatizo ni uwezo mdogo wa kocha?

Taifa Star kufungwa, tatizo ni uwezo mdogo wa kocha?

Suali lako.. NINI KIFANYIKE?

Tanzania kwa ujumla hatuna jibu..... (mara zote tunafungwa /tunashindwa) !!

jibu lako lipo kwa wale wanaotushindaga/wanaotufungaga!!

@PAIN KILLER
 
Suali lako.. NINI KIFANYIKE?

Tanzania kwa ujumla hatuna jibu..... (mara zote tunafungwa /tunashindwa) !!

jibu lako lipo kwa wale wanaotushindaga/wanaotufungaga!!

@PAIN KILLER

@ Mkubwa Zamiluni Zamiluni naamini unamaanisha tujifunze kutoka kwa hao wanaotufungaga...ni kweli kabisa wenzetu wamewekeza katika soccer la vijana ndio maana vijana wao wengi kama wakina yacine brahine na Riyad Mahrez pamoja na wengine wanacheza vilabu vikubwa ulaya.
 
Bao la mapema ndilo lilowachanganya. Lkn pia Stars wana udhaifu sana upande wa mabeki, hawana uwezo wa kulinda magoli. Jinsi ma forward wa Algeria walivokuwa wakipiga chenga za maudhi na kupita hadi huruma. Wachezaji wa Algeria wanatumia mbinu za kitoto sana za kuanguka kila mara lkn cha ajabu referee naye anahadaika nazo. Mimi nilikuwa nashangaa sana michezaji ya Algeria jinsi ilivyokuwa mikubwa na yenye nguvu lkn kudondoka ovyo ovyo.
 
Jamani Tanzania sisi tuna akili za panzi, anzia viongozi wetu mpaka raia yule mdogo kabisa! Sasa na wewe kama siyo akili ya panzi hii ni kitu gani? Nani alikwambia kwamba tulishinda kwa magoli mawili? Mechi iliisha 2-2 magoli ya Algeria yakiwa ya kizembe kabisa, wachezaji wetu wana ubongo wa panzi, mpira hawawezi wabaki kugegeda tu ndo fani wanayoweza! Wacha tupigwe 7-0 ni size yetu!!
Mkuu huyo jamaa keshakuambia sio mwanamichezo nakushangaa unavyomshambulia......hv unajua kuna watu ukiwaambia kuna timu inaitwa azam anaweza hata asiijue maana soka sio eneo lao.
 
@ Mkubwa Zamiluni Zamiluni naamini unamaanisha tujifunze kutoka kwa hao wanaotufungaga...ni kweli kabisa wenzetu wamewekeza katika soccer la vijana ndio maana vijana wao wengi kama wakina yacine brahine na Riyad Mahrez pamoja na wengine wanacheza vilabu vikubwa ulaya.
Mkuu..., Pia kwa elimu ya Sayansi na taaluma za magonjwa "wakitaka kuelewa/kujifunza VIRUSI au MAAMBUKIZO FULANI huwa wanapandikiza na kuviPlant culture ya MADUDU hao" (utafiti wa kina) hapo ndipo huweza tambua pakuanzia !!!!

Labda ni wape Muarobaini wangu......
 
Bao la mapema ndilo lilowachanganya. Lkn pia Stars wana udhaifu sana upande wa mabeki, hawana uwezo wa kulinda magoli. Jinsi ma forward wa Algeria walivokuwa wakipiga chenga za maudhi na kupita hadi huruma. Wachezaji wa Algeria wanatumia mbinu za kitoto sana za kuanguka kila mara lkn cha ajabu referee naye anahadaika nazo. Mimi nilikuwa nashangaa sana michezaji ya Algeria jinsi ilivyokuwa mikubwa na yenye nguvu lkn kudondoka ovyo ovyo.

Mpira ni tactics, mbona hushangai ronaldo kujiangisha angusha au barca, kama wao walijiangusha wakashinda kwanini na sisi tusingejiangusha tushinde???
 
Jamani tatazo sioo kocha ttzo ni washambuliaji wetu pia kipa katubooa sana hachezi na mabeki wakee
 
duuuuu, inauma. sijui tufanyeje ili kuondoka na aibu hii ya kushindwa. saba mtungi, sio mchezo
 
Kuna mtu amecomment kuwa tumwambie Jecha afute matokeo haya.
 
Msikie jecha
 

Attachments

  • 1447836752672.jpg
    1447836752672.jpg
    62 KB · Views: 143
mwarabu katukalisha na SEVEN DAY per nil.hivi jamani mnazungumziaje zile bao 7 za algeria? timu ivunjwe au kocha atimuliwe?
 
Hii ni aibu ya karne,tumeshindwa hata kutumia utaalamu wetu wa kuchakachua kura za wapinzani?Naomba NEC ilitendee haki Taifa letu kwa kuyageuza matokeo hayo yasomeke Stars 7-0 Argelia.

Au tumekuwa hodari wa kung'ang'ania madaraka kwa kupora kura za wapinzani wetu kisiasa na kushindwa kutumia uzoefu wetu huo kwenye sekta nyingine?Kwa nini tusingewaomba CAF wamteue Jecha awe mwamuzi wa mchezo huo ili dk 90+ afute matokeo hayo ya 7-0 tuanze upya baada ya siku 90?Au hilo liliwezekana Zanzibar tu huko kwa wenzetu likashindikana?

Kamati zetu za ufundi zilipaswa kuomba ushauri kwa mh.February na timu yake ya ma IT iliyotumika kuchepusha kura za Mh.Lowassa na kuzichakachua kabla hazijafika NEC.Wangetumia uzoefu huo kwa kuchakachua magoli ya Argelia kabla ya mwamuzi wa kati hajaita mpira kati.CCM hoyeeeeee.....#HapaKaziTu,acha tuisome namba.
 
Hivi haya matokeo hayawezi kufutwa kama Matokeo ya ZEC!!( Just a Joke)

nami pia nashauri kwenye kamati ya mashindano wawepo jaji LUBUVA naJECHA nadhani kwa matokeo haya, JECHA angeyafuta,maana mchezo haukuwa wa huru na haki, huku LUBUVA angetangaza Algeria 7-9 Tanzania
 
Taifa star kufungwa tatizo ni uwezo mdogo wa kocha wa timu ya taifa au kocha?
hata washabiki wana uwezo mdogo

Hivi ilikuwa match kati ya Algeria na combine ya Yanga na Azam au!!! nawaza tu lkn
 
Back
Top Bottom