Taifa stars anapoteza Leo

Taifa stars anapoteza Leo

Leo naona kabisa Taifa stars atashindwa kwenya hatua ya makundi na kwasababu wanaweza kubweteka kutokana na matokeo ya away hapa ndo kutaanzia tatizo lakini pia Burundi individual wanauwezo mkubwa kuliko wachezaji wetu.Japo naipenda timu yangu ya Taifa ila naona kabisa tunaanguka lakini pia Nina wasiwawasi na lineup itakayokuwa Leo lakini Kama wachezaji hawatabweteka na kujituma Sana na pia lineup ya Leo itakuwa nzuri tutatoboa tofauti na hapo tujiandae kisaikologia.

Naomba ifikapo Saa 11 na dakika 55 jioni ya leo uje tena hapa hapa utupe matokeo ya mwisho, ila ninachojua ni kwamba iwe jua au mvua Intamba Murugamba ( Burundi ) wanafungwa leo kwa Mkapa.
 
Inabidi uhamiaji wawe wanapitapita na humu!!!!
Ni utani, Tanzania tunapendana.
Haaaaahaaaaaa!!!!!
 
Ilikuwa kidogo utabiri wako utimie.Burundi ni wazuri hatari.Wengi wanacheza nje ya nchi yao.
Leo naona kabisa Taifa stars atashindwa kwenya hatua ya makundi na kwasababu wanaweza kubweteka kutokana na matokeo ya away hapa ndo kutaanzia tatizo lakini pia Burundi individual wanauwezo mkubwa kuliko wachezaji wetu.Japo naipenda timu yangu ya Taifa ila naona kabisa tunaanguka lakini pia Nina wasiwawasi na lineup itakayokuwa Leo lakini Kama wachezaji hawatabweteka na kujituma Sana na pia lineup ya Leo itakuwa nzuri tutatoboa tofauti na hapo tujiandae kisaikologia.
 
Sasa hivi kocha yuko poa sio wale wa zama zile

Uko sahihi! Kuna utofauti mkubwa sana kati ya yule good for nothing Amunike na huyu Ndairagije! Huyu walau ni msikivu na mfano mzuri ni kumuacha nje Haruna Shamte kwenye mchezo wa leo na hivyo kumuanzisha mzoefu Kessy.

Leo hata kama timu ingetolewa, bado nisingewalaumu. Wachezaji wamejituma, walikuwa wanashambulia, nk.
 
Hongera nyingi kwa Taifa Stars kwa kuingia hiyo hatua ya makundi. Mapambano yaendelee mpaka mwisho.
 
Hongera sana Taifa stars, all the best Kwa hatua zinazofuata, ila Burundi Leo kwenye penati walikula maharage ya wapi 3 zote holaa,duuh
 
Hongera sana Taifa stars, all the best Kwa hatua zinazofuata, ila Burundi Leo kwenye penati walikula maharage ya wapi 3 zote holaa,duuh

Nasikia Shirikisho la mpira la Burundi linakusanya ushahidi ili kumshtaki Kaseja CAF! Eti wale wachezaji waliokosa penati wamelalamikia kwa viongozi wao kuliona "Jitu kubwa la kutisha golini" badala ya golikipa Kaseja!
 
Back
Top Bottom