Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu ndio ukweli unaofichwa, shukrani zimwendee Mwenyezi Mungu pekee, baada ya Stars kufunga goli, dk zote zilizosalia tumepumulia mashine, kuna wakati nimeshangaa wachezaji wa Namibia kukosa magoli ya namna ile mbele ya difensi yetu mdebwedo kiasi cha kushangaza na kuleta maswali ya kutaka kujua walikookotwa mabeki wetu.
Timu haijui kujilinda wala kukaba kiasi kama tukikutana na timu yenye kasi tutapigwa kontena la magoli .
Sijivunii ushindi tulioupata maana ni ushindi wa Bahatisha Ndulute.
Timu haijui kujilinda wala kukaba kiasi kama tukikutana na timu yenye kasi tutapigwa kontena la magoli .
Sijivunii ushindi tulioupata maana ni ushindi wa Bahatisha Ndulute.