Jbst JF-Expert Member Joined Nov 29, 2020 Posts 1,971 Reaction score 4,085 Nov 22, 2023 #21 Ulimakafu said: Mpigaji anaudundisha away from 25 meters??!!???!?? You must be kidding bro. Mle kipa Kawawa hamna kubali tu hata kama ni shemejio. Click to expand... Kaa na ukilaza wako unashangaa nn hapo? Nimekutolea mfano aziz msim uliopita kafunga magoli ya aina hiyo zaid ya mara 3. Ulaya huko magoli yanafungwa sana tu, mpira ukishadunda mbele yako lazima ukuchaganye
Ulimakafu said: Mpigaji anaudundisha away from 25 meters??!!???!?? You must be kidding bro. Mle kipa Kawawa hamna kubali tu hata kama ni shemejio. Click to expand... Kaa na ukilaza wako unashangaa nn hapo? Nimekutolea mfano aziz msim uliopita kafunga magoli ya aina hiyo zaid ya mara 3. Ulaya huko magoli yanafungwa sana tu, mpira ukishadunda mbele yako lazima ukuchaganye