Taifa Stars kufungwa kwa Mchina! Mashabiki wa Lesotho na Uganda tujuane mapemaa

Taifa Stars kufungwa kwa Mchina! Mashabiki wa Lesotho na Uganda tujuane mapemaa

Humu JF walikuwa wengi kweli nadhani hapo walipo sasa wananuka aibu . Na tusingepita leo hii pangechafuka hapa jukwaani kwa kejeli kibao
Sure mkuu hata nilikuwa team PINGA PINGA

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Kila la Kheri Timu Yangu ya Uganda
Uganda piga Team Amunike goli za kutosha tu
Natumai Okwi hutoniangusha
Kwa waleo ambao hatupo tayari kuishangilia taifa stars tukutane hapa. Eleza sababu kwanini hutaishangilia Stars na badala yake utaishangilia the Cranes!

Mm binafsi sitaishangilia stars na badala yake nitaishangilia the cranes kwasababu zifuatazo.

1. Ushindi wa stars utaleta madhara mengi namakubwa kwa jamii kufuatia kufungwa kwa mitaaa na pombe kuuuzwa nusu bei hivyo kuwa na matukio mengi mabaya.

2. Mchezo huu kuhusisha wanasiasa

3.kuepuka aibu ya kuvuta mkia tukienda afcon.

Karibu ueleze sababu zako

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wanafungwa kweli maandalizi yamebase sana IG ,maneno mengi ubunifu F.
Hiyo mil 10 mwenyekiti anaitoa wapi?

Kuna matatizo mengi ya mcingi ya wananchi yanahitaji pesa,hao Taifa stars si wanaposho na bajeti kila kitu tuache kijikweza wakati uwezo mdogo.

Tunawaza tofauti heshimu mawazo yangu na inafungwa kesho.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kila la kheri Uganda na Lesotho ushindi mnono.
Kila la kheri Tanzania (0000).
Ninamuomba Mola timu ya Amunike ifungwe tu, potelea kote

Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walijanza makaunta kwa maneno ya kejeli kwa Taifa stars hapo walipo kila mtu anachoma moto kinyonge duh!! kweli wabongo roho mbaya kuna mtu kwenye uzi huu alikomenti yeye mzalendo anaombea Taifa stars ishinde 5 - 0 halafu Lesotho ashinde moja tu.
 
Nipo hapa Esta'dio Nacional de Cabo Verde hapa Mjini Praia,hali ya hewa ni nzuri kabisa. Vijana na mashabiki wa Cape Verde nawaona hawana matumaini wala uhakika wa angalau kudroo hii match maana Vijana wa Timu yangu Lesotho wana ari kubwa sana ya ushindi na mashabiki tupo wengi sana. Mungu Ibariki Lesotho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngapi huko uwanjan mpira hujaisha tu ?
 
Back
Top Bottom