Taifa Stars mmejua kutudhalilisha sisi Wachambuzi

Watanzania hamuifahamu historia ya Tanzania na Algeria.

Kilichofanyika jana ni diplomasia ya hali ya juu.

Ahsante sana mama Samia.
Akili za kuvukia barabara.
 
Watanzania hamuifahamu historia ya Tanzania na Algeria.

Kilichofanyika jana ni diplomasia ya hali ya juu.

Ahsante sana mama Samia.
Akili za kuvukia barabara.
 
Watakufa njaa.
 
Kwenye sheria ipo sijui kwanini mpaka sasa bado haijaundwa!
P
 
Kwenye sheria ipo sijui kwanini mpaka sasa bado haijaundwa!
P
Kuna haja wangeharakisha huo Mchakato ili kutuondolea Waandishi wasio na weledi.

Sasahivi imekuwa kawaida kuona mtu yeyote maarufu eti naye anakuwa Mtangazaji au Mchambuzi wa Habari.

Hali imayopelekea wale waliosomea taaluma husika kukosa ajira lakini pia kufanya mmomonyoko wa maadili miongoni mwao.
 
wengi walishaandaa makala za kuwa wamefungwa na wameshindwa kufuzu. hata mimi niliamini itakuwa hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…