Taifa Stars Vs Malawi

Nimerudisha uzalendo wangu (ulipotea tangu kufukuzwa kwa Maxmo) kwa timu yangu ya Taifa.

Niliahidi sintoishangilia Taifa stars mpaka kocha awe mzawa.
Naleo zimefanikiwa ndoto zangu.

The same to me! Aksante Mkwasa! Aksante TP ANGRIBERT MAZEMBE!
 
Hongera kwa Malinzi kumpa nafasi Mkwasa,Hongera Taifa Stars
 
Mechi ni SAA 8 mchana ya Malawi ambapo huku ni. SAA 9 alasiri, viva Taifa. Stars
 
Hii mechi ni j2 au sio?

Ndiyo Mkuu, ni Jumapili. Bado sijaona Live broadcast ya TV yoyote, mwenye taarifa atupatie. Si vibaya hata tukipata Live stream links ili tuione hiyo mechi. S9 EA watarusha marudio ya mechi hiyo ifikapo 1800hrs CAT.
 
Ndiyo Mkuu, ni Jumapili. Bado sijaona Live broadcast ya TV yoyote, mwenye taarifa atupatie. Si vibaya hata tukipata Live stream links ili tuione hiyo mechi. S9 EA watarusha marudio ya mechi hiyo ifikapo 1800hrs CAT.

Mtanange huo hautaonyeshwa na kituo chochote cha tv au kwenye radio hii ni kwa mujibu wa Malinzi.
 
Mtanange huo hautaonyeshwa na kituo chochote cha tv au kwenye radio hii ni kwa mujibu wa Malinzi.

Bongo bana hatujali wala kujivunia vya kwetu. Karne hii kweli tunashindwa kupeleka media zetu, tv au redio? Hivi hatujatambua kuwa nchi na bidhaa za nchi vinatangazwa kwa njia nyingi?
 
Bongo bana hatujali wala kujivunia vya kwetu. Karne hii kweli tunashindwa kupeleka media zetu, tv au redio? Hivi hatujatambua kuwa nchi na bidhaa za nchi vinatangazwa kwa njia nyingi?

efm radio 93.7fm watatangaza live
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…