Ni Samatta au Ulimwengu mkuu?
22'mins tanzania 2-0 malawi
samatta,ulimwengu
ulimwengu tz 2-0 malawi leo ni zamu yetu
Malawi wamerudi nyuma,wameamua kujihami wasirudi kwao na kapu la magoli.
goli la kwanza ulimwengu katoa pasi samata kafunga.
Naangalia Super Sport 7
Asante ex-kocha wa Yanga tunaona anafanya yake...ama kweli wazawa wakipewa nafasi wana weza.
Mkwasa big up baba....
Leo tumewakamata hawa!Wanyasa ni wazuri tujiangalie wasije kurudisha hayo magoli, maana sisi duuu hatuaminiki