Taifa Stars Vs Malawi

Vijana wanajitahidi, bado ni mapema.....japo wakienda chumbani wanaweza kugonga viroba
 
Washenzi Wamekuja Mwaka Wamabadiliko,kila Mwaka Wanakuja Wanatafuta draw,huu Mwaka Lazima Tuwanyoooshe...#hapakazitu
 
Wanyasa ni wazuri tujiangalie wasije kurudisha hayo magoli, maana sisi duuu hatuaminiki
 
Asante ex-kocha wa Yanga tunaona anafanya yake...ama kweli wazawa wakipewa nafasi wana weza.
Mkwasa big up baba....
 
Niko Wembley Stadium Kashai - Bukoba
 

Attachments

  • 1444224764596.jpg
    69.3 KB · Views: 302
Ukabaji wetu sijaukubali kabisa,goli mbili sio salama
 
Asante ex-kocha wa Yanga tunaona anafanya yake...ama kweli wazawa wakipewa nafasi wana weza.
Mkwasa big up baba....

Mkuu ungesubiri japo mechi iishe kwanza,usije kumgeuka tu Kocha
Hahahaaaaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…