Taifa Stars waenda Cape Verde bila Dreamliner

Tuache kudanganyana hapa!Mimi nimekaa Cape Verde takribani miezi sita.Wenzetu wana ndege kubwa tatu :airbus mbili na boeing 737-800 Next Generation ambayo ina uwezo wa kubeba abiria si zaidi ya 230. na zote zinapiga masafa ya Europe mpaka Caribbeans sasa huyu mzushi anayesema eti "hawana uwanja wa ndege wa kutua dreamliner ya Tanzania anaumwa au ni mgonjwa?"
HIvi visiwa vinapokea watalii zaidi ya mia sita kwa siku.
WATANZANIA ACHENI UZUSHI WA KIJINGA!
 
Sio kweli kuwa uwanja ni kikwazo, kwakuwa viwanja vyote vinajulikana
 
Nmeamin ule msemo wa "njia ya muongo ni fupi"
 
Sema hivi. Dereva wetu ndiyo mdogo kutua kwenye uwanja huo mkubwa kumzidi.
 
upo sahihi ...... ina maana hawakujua tangu mwanzo kuwa wanna ni mdogo ?.... mpaka hata kukata ticket? uwongo huu ni kiboko
 
Njia ya mwongo fupi......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…