Sawa mkuu!Kumbe dege letu ni hatari sana!Nyie inatakiwa mue waelewa hii ndege inatua kwenye viwanja vikubwa tu duniani vilivyopo Tanzania ambavyo ni mwz,klmanjaro,jnia na chato Kinakuja,hivyo ndio viwanja 4 vikubwa duniani ambako dreamliner yetu inatua.
Utadhani umezaliwa nchi ya 'galilaya', kumbe ni mtanzania wa 'kibo mchikini'Asante Mungu, bora imebuma
Routes
There are 192 flights on 28 different routes from Praia Nelson Mandela International Airport, connecting RAI to 27 different cities in 14 different countries. The most popular routes connect Praia
Aeroporto internacional da Praia Cabo Verde
Icelandair lands at Praia Nelson Mandela airport
Na kwasababu watu wananung'unika kila siku mtakuwa mnafeliUtadhani umezaliwa nchi ya 'galilaya', kumbe ni mtanzania wa 'kibo mchikini'
hahahaha nmecheka sana...so, walikuwa wanataka kufanya experiment na Wachezaji wetu kama specimen!!Bora majaribio hayakuwapata vijana wetu.
Akili za namna hii haziwezi kujenga viwanda hata siku moja.bawcha leo watapata usingizi ,,,,,wamefurahi kweli hahahahaha
Yani ingeruka tu mpka Cape Verde ingerudi inatoa moshi kama rolibawcha leo watapata usingizi ,,,,,wamefurahi kweli hahahahaha
Abiria wapo 120 bombadier inabeba 70Sawa tuseme uwanja ni mdogo Dreamliner haiwezi tua vipi kwa Bombardier ?
Msharudishwa IATA kwanza au bado ndio maana mkapigwa pini kuruka kwenye nchi za watu ?
Hivi zile Boeing zinazotua Cape Verde huwa zinatua kwenye maji ? Dah huu uongo sasa umezidi