Taifa Stars ya Jana wangepangwa Wachezaji wengi ya Yanga SC tungefungwa hata Goli / Bao 15 Hongera Kocha

Taifa Stars ya Jana wangepangwa Wachezaji wengi ya Yanga SC tungefungwa hata Goli / Bao 15 Hongera Kocha

Huwezi ukawa na Timu ya Taifa yenye Wachezaji mahiri wa Klabu ya Simba SC kama akina Manula, Kapombe, Tshabalala, Nyoni, Mkude na Boko halafu ukafungwa Goli / Bao nyingi na Timu yoyote ile. Hongera sana Kocha wa Taifa Stars Ndayiragije kwa Kutupangia Wachezaji wengi wa Timu yangu bora ya Simba SC. Ungewapanga wengi wa Yanga SC jana 'tungekula' hata 15 pale.

Sasa nakuomba mno Kocha wangu Ndayiragije ambaye nakumbuka nilishakaa mahala na Wewe na ukaniambia kuwa kama kuna Timu ambayo si tu unaipenda bali pia inacheza Soka safi na Wachezaji wake wengi wana 'Vipaji' vikubwa nchini ni Simba SC katika Mechi yako ya 'Keshokutwa' ambayo ni ya marudiano 'Kikosi' chako kiwe hivi tafadfhali na wala usikibadilishe kabisa......

1. Aishi Manula ( Kipa bora Tanzania ambaye jana kaonyesha uwezo mkubwa mno wa Kudaka na anastahili pongezi nyingi )
2. Shomary Kapombe ( Beki ambaye hata angeenda Real Madrid au PSG au Liverpool yangu bado angepata namba Kikosi cha Kwanza )
3. Mohammed Hussein 'Tshabalala' ( Mchezaji ambaye hata Lionel Messi akimuona atawaomba FC Barcelona Wamsajili upesi sana )
4. Bakari Nondo ( ambaye kama mambo yakienda vyema huenda akatua Simba SC )
5. Erasto Nyoni ( Mchezaji ambaye tokea aanze Kucheza Soka Akademi hadi leo hajachuja na hatochuja ng'o hadi akistaafu )
6. Jonas Mkude ( Mdogo wangu na Mwanangu Mwenyewe na Kiungo ambaye bado sijaona wa Kumfananisha nae nchini Tanzania )
7. Simon Msuva ( ambaye hakuna asiyemjua kuwa anaipenda Simba SC tokea akiwa Tumboni mwa Mama yake )
8. Salum Aboubakar ( ambaye anajulikana ni Simba SC sana ila Baba yake anamtishia akija tu Simba SC atamuachia Laana )
9. Ditram Nchimbi ( ambaye kama mambo yakienda vyema nae atatua Simba SC muda wowote ule )
10. John Boko ( Mshambuliaji aliyezaliwa tu kuja Kufunga Magoli na kutoa Pasi za Kufunga kwa Wenzake )
11. Farid Musa ( ambaye 99% ya Marafiki zake wa Karibu hasa Wachezaji ni wa Simba SC na muda wowote anatua Msimbazi )

Na kama Kocha Ndayiragije ukiamua Kufanya 'Mabadiliko' basi ingiza Wachezaji hawa tu Wawili Said Ndemla na Muzamiru Yassin wa Yanga SC NO.
Hivi kule congo na misri mlipigwa jumla ya goli ngapi?
 
kapombe jana kaangushwa sana na msuva hakumsaidia kukaba ila zimbwe kafanya kazi sana boko nampongeza kwenye kukaba mana kule mbele mipira ilikuwa haifiki atleast kasaidia defence,manula hamna la kulalamika man of the match,nyoni kacheza poa sana,mkude na wenzae katikati wamevurunda
Kote umepatia ila ulimpomsema tu Mwanangu mwenyewe Kiungo bora Mkabaji nchini Tanzania Jonas Gerald Mkude Xavi Hernandez umenikwaza.
 
Kuna 'Mijitu' ni 'Mijuha' hapa hadi najiuliza kwanini CORONA haikuondoka nao tu. Hivi Taifa Stars imeshawahi Kufungwa Goli 5 na Misri na Congo?
Wachezaji wa simba washafungwa hamsa hamsa ambao leo unawasifia kuzuia
 
Wachezaji wa simba washafungwa hamsa hamsa ambao leo unawasifia kuzuia
Je, hizo Timu hizi Mbili zilizotufunga idadi hiyo ya Magoli / Mabao na zenyewe zilipokuja Kwetu hapa Tanzania zilitoka bila Kufungwa na Simba SC?
 
kapombe jana kaangushwa sana na msuva hakumsaidia kukaba ila zimbwe kafanya kazi sana boko nampongeza kwenye kukaba mana kule mbele mipira ilikuwa haifiki atleast kasaidia defence,manula hamna la kulalamika man of the match,nyoni kacheza poa sana,mkude na wenzae katikati wamevurunda
1v0 dhidi ya Tunisia unasema timu imevurunda ?
 
1v0 dhidi ya Tunisia unasema timu imevurunda ?
katikati team ilikuwa mbele haiendi hadi boko anageuka beki,kama wangekuwa na ubunifu kina sure boy hata goal moja tungepata,shukrani sana kwa mabeki na manula haswa manula
 
Kote umepatia ila ulimpomsema tu Mwanangu mwenyewe Kiungo bora Mkabaji nchini Tanzania Jonas Gerald Mkude Xavi Hernandez umenikwaza.
kapoteza sana mipira jana na bahati mbaya sana huwaga simkubali hata akipangwa mechi za simba
 
Hivi wachezaji wa simba na umri ule wataenda ulaya gani acha kuchezea akili za watu misimu mitano upo simba leo hii useme unaweza kucheza ulaya labda ulaya msimbazi
Wanaweza kwenda ulaya kwenda kufanya kazi za ndani kama kudeki na kunyoosha nguo.
 
Huwezi ukawa na Timu ya Taifa yenye Wachezaji mahiri wa Klabu ya Simba SC kama akina Manula, Kapombe, Tshabalala, Nyoni, Mkude na Boko halafu ukafungwa Goli / Bao nyingi na Timu yoyote ile. Hongera sana Kocha wa Taifa Stars Ndayiragije kwa Kutupangia Wachezaji wengi wa Timu yangu bora ya Simba SC. Ungewapanga wengi wa Yanga SC jana 'tungekula' hata 15 pale.

Sasa nakuomba mno Kocha wangu Ndayiragije ambaye nakumbuka nilishakaa mahala na Wewe na ukaniambia kuwa kama kuna Timu ambayo si tu unaipenda bali pia inacheza Soka safi na Wachezaji wake wengi wana 'Vipaji' vikubwa nchini ni Simba SC katika Mechi yako ya 'Keshokutwa' ambayo ni ya marudiano 'Kikosi' chako kiwe hivi tafadfhali na wala usikibadilishe kabisa......

1. Aishi Manula ( Kipa bora Tanzania ambaye jana kaonyesha uwezo mkubwa mno wa Kudaka na anastahili pongezi nyingi )
2. Shomary Kapombe ( Beki ambaye hata angeenda Real Madrid au PSG au Liverpool yangu bado angepata namba Kikosi cha Kwanza )
3. Mohammed Hussein 'Tshabalala' ( Mchezaji ambaye hata Lionel Messi akimuona atawaomba FC Barcelona Wamsajili upesi sana )
4. Bakari Nondo ( ambaye kama mambo yakienda vyema huenda akatua Simba SC )
5. Erasto Nyoni ( Mchezaji ambaye tokea aanze Kucheza Soka Akademi hadi leo hajachuja na hatochuja ng'o hadi akistaafu )
6. Jonas Mkude ( Mdogo wangu na Mwanangu Mwenyewe na Kiungo ambaye bado sijaona wa Kumfananisha nae nchini Tanzania )
7. Simon Msuva ( ambaye hakuna asiyemjua kuwa anaipenda Simba SC tokea akiwa Tumboni mwa Mama yake )
8. Salum Aboubakar ( ambaye anajulikana ni Simba SC sana ila Baba yake anamtishia akija tu Simba SC atamuachia Laana )
9. Ditram Nchimbi ( ambaye kama mambo yakienda vyema nae atatua Simba SC muda wowote ule )
10. John Boko ( Mshambuliaji aliyezaliwa tu kuja Kufunga Magoli na kutoa Pasi za Kufunga kwa Wenzake )
11. Farid Musa ( ambaye 99% ya Marafiki zake wa Karibu hasa Wachezaji ni wa Simba SC na muda wowote anatua Msimbazi )

Na kama Kocha Ndayiragije ukiamua Kufanya 'Mabadiliko' basi ingiza Wachezaji hawa tu Wawili Said Ndemla na Muzamiru Yassin wa Yanga SC NO.
Kabla ya mechi ulimpongeza Samatta kwamba kajivunja ili kukwepa fedhea ya goli nyingi. Mpira umeisha, umekuja na propaganda nyingine. Hebu kunywa maji mengi alaf lala.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
kapoteza sana mipira jana na bahati mbaya sana huwaga simkubali hata akipangwa mechi za simba
Mimi ni shabiki wa yanga ila umeongea point sana Mkude amechuja sana anaonekana timu ikiwa na mpira tu' ni wakati wa kumwachia namba ndemla maana dogo anavitu vingi anakaba, ana piga mashuti ya mbali,mzuri kwenye mashambulizi.
 
Kila mwenye kujua Soka vyema na kabahatika pia kulicheza huwezi kutompanga Jonas Mkude na ukampanga 'Mla Halua' Feisal Salum. Hujishtukii?
Mimi nimecheza mpira mpaka Ulaya ila ankle ilinisumbua najua kuna watu walikaza...Feisal sio defensive midfielder ndio maana Yanga wana Tonombe
 
kapoteza sana mipira jana na bahati mbaya sana huwaga simkubali hata akipangwa mechi za simba
Kakuchapia / Kakukanyagia / Kakutindulia / Kakungonolia Demu wako au Mkeo labda? Ukisema 'humkubali' Mkude wenye Akili 'tutakudharau' sana.
 
Kakuchapia / Kakukanyagia / Kakutindulia / Kakungonolia Demu wako au Mkeo labda? Ukisema 'humkubali' Mkude wenye Akili 'tutakudharau' sana.
punguza mastusi huwezi changia mada bila kero???????anakimbia kama ana majipu wenye miguu,anachelewa kukaba hajui ku tackle akikutana na wachezaji wenye kasi yeye ni kunyanyua miguu na kukita, he is a weak DM hamna kitu pale
 
Back
Top Bottom