Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Sielewi kabisa binafsi hii physics imenishinda, inakuaje Tairi la Gari normal Cars upepo wake kwa kutumia ile geji huwa zinaingia 30, 35 na nyingine kubwa kama cruser huingia 40, Baiskeli tairi lake kwa kutumia geji hiyo hiyo upepo wake unaingia 60, lile tairi kubwa kabisa la Trekta upepo wake unaingia 15 kwa kutumia Geji hiyo hiyo.
Nimewaza kuhusu kipenyo hapana haiingii akilini.
Je! Kuna siri gani ya physics kwenye hili?
Nimewaza kuhusu kipenyo hapana haiingii akilini.
Je! Kuna siri gani ya physics kwenye hili?