Tairi ya Gari upepo ni 35, Baiskeli ni 60 na Trekta lile kubwa kabisa ni 15.60. Why and How?

Tairi ya Gari upepo ni 35, Baiskeli ni 60 na Trekta lile kubwa kabisa ni 15.60. Why and How?

Izo namba tu mkuu, iyo yenye namba kubwa ndio unaingia upepo mdogo.
Mf. Umri na mwaka aliozaliwa mtu aliyezaliwa 2020 na mtu aliyezaliwa 1989 yupi mkubwa?
Ingekuwa ni hivyo basi upepo ukipungua kwenye gari ungekuwa unapanda, mbona hiyo gari yenye upepo 30/35/40 nk, upepo ukipungua inafika hata 20/10 nk.

Na wanasema ukubwa ndio namba ndogo, mbona tairi za size 12, malori zinajaza upepo mpaka 130?
 
Unaelewa concept ya DENSITY kwenye ukubwa wa viwanja? Yaan chenye lower density ni kikubwa kuliko chenye higher density.

Labda nikupe mfano rahisi tu. Tuseme tairi la Trekta lina uwezo au ujazo wa Units 5,000 za upepo lakini wewe ukaweka units 1,000 za upepo only. Hapo umeweka only 20% ya uwezo wake.

Sasa uje kwenye tairi ya Gari ina uwezo wa kuchukua units 500 za upepo lakini wewe umeweka units 400 za upepo. Hapa umeweka 80% ya uwezo wake.

Upepo ulioingia kwenye tairi ya Gari ni mdogo kulinganisha na ule ulioingia kwenye tairi ya Trekta lakini asilimia za upepo wa tairi ya Gari ni kubwa kuliko zile za tairi ya Trekta.

Sasa hizi asilimia ndio kama density, hupimwa kwa Pressure/Area
 
GARI TYRES ZIMEANDIKWA MAX PRESSURE NI 44. Wewe hiyo ya 35 umetoa wapi?
 
Ebu tuanze na Volume & Pressure.
- the greater the Volume of air in the tyre, the less Pressure it can withstand.
Kwa hiyo kutokana na Ukubwa wa tairi la trekta, Pressure itakuwa ndogo ukilinganisha na tairi la baiskeli ambalo Volume yake ni ndogo.

Hii ipo logical zaidi.
 
Swali zuri Sana. Ngoja wataalam wake tuone inakuaje.
Ila maudamvu udamvu yangu.
Pressure is equal to force over area.
The higher the area the lower the pressure.
Sasa ule mji tairi wa trekta una bonge la area linagusa ardhi. Pressure ni ndogo kwa maana hiyo. Baiskeli kaji area kadogooo pressure kubwaaaa.
Sijui lkn.
Inversely proportion
 
Post no 25 ndiyo jibu ila kwa kujazia tairi la tractor linawekwa pressure kidogo sababu tractor halina spring so mneso wake uko kwenye hilo tairi ukiweka pressure above 50 dereva utakiona cha moto
 
Jaman upepo kwnye tair za gar unaandikwa kweny unabavu wa tair husika. So weka upepo kutokana na maelekezo ya tairi. Kuna 35,44,50 51.na kuendelea.

Hii ya kusema mbele ni 35 mmetoa wap.mtaharibu tairi zetu kufanya ziishe haraka pia mtamaliza mafuta yenu kiholela kbsa.
Ttzo mafundi sio wa kufatilia mambo yanabadilika lazim kuwa updated.
 
Jaman upepo kwnye tair za gar unaandikwa kweny unabavu wa tair husika. So weka upepo kutokana na maelekezo ya tairi. Kuna 35,44,50 51.na kuendelea .hii ya kusema mbele ni 35 mmetoa wap.mtaharibu tairi zetu kufanya ziishe haraka pia mtamaliza mafuta yenu kiholela kbsa.
Ttzo mafundi sio wa kufatilia mambo yanabadilika lazim kuwa updated.
Sawa mkuu ila tatizo halipo hapa., yaani hatuzungumzii hilo
 
Baiskel kwanza ni tubed lzm ijazwe kwa hiyo kiwango ila pia hiyo 60 ya pump ya baiskel ni tofaut na ya compressor mzee baba
 
Na mnaju makamanda huu uhuni sio kwenye upepo tu hata kwenye NDOANO zile za kuvulia samaki ati utaona zile ndogo ndogo kabisa ndio unaambiwa namba 100 na zinazofuata kwa ukubwa kidogo utaambiwa 64 na kubwa kabisa unazoweza tegea hata mamba utaambiwa 10 au 9 ndo mi kubwa kabisa. Why?

Lakini matobo ya nyavu yanaenda sawa tu madogo 1/4 yanatofuata kwa ukubwa kidogo 1/2 nakuendelea mpaka 1 1/2 kwanini?
 
Unaelewa concept ya DENSITY kwenye ukubwa wa viwanja?? Yaan chenye lower density ni kikubwa kuliko chenye higher density.

Labda nikupe mfano rahisi tu. Tuseme tairi la Trekta lina uwezo au ujazo wa Units 5,000 za upepo lakini wewe ukaweka units 1,000 za upepo only. Hapo umeweka only 20% ya uwezo wake...
Kinacho pimwa ni pressure na si density
 
Back
Top Bottom