Tairi ya Gari upepo ni 35, Baiskeli ni 60 na Trekta lile kubwa kabisa ni 15.60. Why and How?

Tairi ya Gari upepo ni 35, Baiskeli ni 60 na Trekta lile kubwa kabisa ni 15.60. Why and How?

Sielewi kabisa binafsi hii physics imenishinda, inakuaje Tairi la Gari normal Cars upepo wake kwa kutumia ile geji huwa zinaingia 30, 35 na nyingine kubwa kama cruser huingia 40, Baiskeli tairi lake kwa kutumia geji hiyo hiyo upepo wake unaingia 60, lile tairi kubwa kabisa la Trekta upepo wake unaingia 15 kwa kutumia Geji hiyo hiyo...

Mwanzo mgumu lakini unaona fucture ya mchezo wa flyover ya Tazara bora ilipewa jina na Mfugale maana ni fursa kali na yaweza kuwa sawa na flyover kali ya Marekani

Stock Photo - Flyover in fort lauderdale

HAPO ITAFIKIWA MASUALA YAFUATAYO KUTOKEA

1. FEDHA KUWA YA KAWAIDA KWA AZAM NA WATU WAKE PAMOJA NA MIRADI YAKE

2. WATU KUELEWA KUWA FLYOVER ILIYOPO NI MCHEZO WA WATU KUDHARAU NA KUJUA KUTUMIA

3. WATU KUONA HELA YA KAWAIDA NA KUPENDA VITU WANAVYOONA NA SIYO NATHALIA ZA FIDIA

tazara flyover - بحث Google
 
Mmmh..ngoja nisubiri wajuzi. Je, kizio Ni sawa? PSI au mm Hg

Mwanzo mgumu lakini unaona fucture ya mchezo wa flyover ya Tazara bora ilipewa jina na Mfugale maana ni fursa kali na yaweza kuwa sawa na flyover kali ya Marekani

Stock Photo - Flyover in fort lauderdale

HAPO ITAFIKIWA MASUALA YAFUATAYO KUTOKEA

1. FEDHA KUWA YA KAWAIDA KWA AZAM NA WATU WAKE PAMOJA NA MIRADI YAKE

2. WATU KUELEWA KUWA FLYOVER ILIYOPO NI MCHEZO WA WATU KUDHARAU NA KUJUA KUTUMIA

3. WATU KUONA HELA YA KAWAIDA NA KUPENDA VITU WANAVYOONA NA SIYO NATHALIA ZA FIDIA

tazara flyover - بحث Google
 
Hiyo geji ipo kwenye kizio gani?

Mwanzo mgumu lakini unaona fucture ya mchezo wa flyover ya Tazara bora ilipewa jina na Mfugale maana ni fursa kali na yaweza kuwa sawa na flyover kali ya Marekani

Stock Photo - Flyover in fort lauderdale

HAPO ITAFIKIWA MASUALA YAFUATAYO KUTOKEA

1. FEDHA KUWA YA KAWAIDA KWA AZAM NA WATU WAKE PAMOJA NA MIRADI YAKE

2. WATU KUELEWA KUWA FLYOVER ILIYOPO NI MCHEZO WA WATU KUDHARAU NA KUJUA KUTUMIA

3. WATU KUONA HELA YA KAWAIDA NA KUPENDA VITU WANAVYOONA NA SIYO NATHALIA ZA FIDIA

tazara flyover - بحث Google
 
Sielewi kabisa binafsi hii physics imenishinda, inakuaje Tairi la Gari normal Cars upepo wake kwa kutumia ile geji huwa zinaingia 30, 35 na nyingine kubwa kama cruser huingia 40, Baiskeli tairi lake kwa kutumia geji hiyo hiyo upepo wake unaingia 60, lile tairi kubwa kabisa la Trekta upepo wake unaingia 15 kwa kutumia Geji hiyo hiyo.

Nimewaza kuhusu kipenyo hapana haiingii akilini.

Je! Kuna siri gani ya physics kwenye hili?
- psi inayosomwa haimaanishi kiwango cha hewa kinachoingia kwenye tire, bali inamaanisha kiwango cha mkandamizo wa hewa kilicho kwenye tire.

- Pressure= Force/Area, hii ni physics rahisi sana. Na hii formula ndio inaelezea kwa nini baiskeli haipiti eneo lenye mchanga ila gari inapita au kwanini dump truck inapita eneo ambalo gali ndogo hazipiti. Tire ndogo inazalisha pressure kubwa ardhini kwa sababu ya area ndogo.

- Ujazo sahihi maana yake ni kwamba pressure ya hewa ndani ya tire inatakiwa ibalance na pressure ya nje inayozalishwa na ardhi. Mfano ukiweka air pressure ndogo tire lita kua flat kuongeza area inayogusana na ardhi ili kupunguza pressure ya nje iendane na pressure ya ndani.

- Ni sawa na kusema "The smaller the tire the greater the ground pressure the greater the air pressure inside the tire".
 
- psi inayosomwa haimaanishi kiwango cha hewa kinachoingia kwenye tire, bali inamaanisha kiwango cha mkandamizo wa hewa kilicho kwenye tire.

- Pressure= Force/Area, hii ni physics rahisi sana.
Na hii formula ndio inaelezea kwa nini baiskeli haipiti eneo lenye mchanga ila gari inapita au kwanini dump truck inapita eneo ambalo gali ndogo hazipiti. Tire ndogo inazalisha pressure kubwa ardhini kwa sababu ya area ndogo..
Umejibu vizuri sana!
Sasa husianisha ulichokieleza hapo na swali kwamba ni kivipi upepo wa tairi la trekta uwe na mgandamizo mdogo wakati upepo wa tairi la pickup uwe na mgandamizo mkubwa?

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Umejibu vizuri sana!
Sasa husianisha ulichokieleza hapo na swali kwamba ni kivipi upepo wa tairi la trekta uwe na mgandamizo mdogo wakati upepo wa tairi la pickup uwe na mgandamizo mkubwa?

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Ulichouliza hapa ndicho nilicho kijibu pale, Tire za trekta zile mbili ni kubwa zaidi kuliko tire za pick up.

Mfano
Ukikanyaga sindano mguu mmoja na msumali mguu mwingine mkandamizo mkubwa utakua kwenye sindano, na ndio itakayozama zaidi kwenye mguu, kwa sababu ya udogo wake.
 
Ulichouliza hapa ndicho nilicho kijibu pale, Tire za trekta zile mbili ni kubwa zaidi kuliko tire za pick up.

Mfano
Ukikanyaga sindano mguu mmoja na msumali mguu mwingine mkandamizo mkubwa utakua kwenye sindano, na ndio itakayozama zaidi kwenye mguu, kwa sababu ya udogo wake.
Ukiwa na maana ya kwamba upepo kwenye tairi la trekta unaingia mwingi lakini mgandamizo wake ndio mdogo?

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Kwanini tairi ya bus ni kubwa ila ina psi 120 na tairi ya kirikuu ni ndogo ila ina psi 35 (sina hakika)?

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1] What a technical question.

- Richa ya kwamba mkandamizo kwenye tire unategemeana na size ya tire, lakini kuna factors nyingine kama uzito wa chombo chenyewe na material yaliyotumika kutengeneza hizo tires.

- Uzito wa chombo unapoongezeka pia mkandamizo kwenye tires unaongezeka, kwa experience yangu upana wa tires za gari dogo hautofautiani sana na upana wa tires za bus( huu upana ndio area inayoongelewa) japo kipenyo cha tires za bus ni kikubwa.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] What a technical question.

- Richa ya kwamba mkandamizo kwenye tire unategemeana na size ya tire, lakini kuna factors nyingine kama uzito wa chombo chenyewe na material yaliyotumika kutengeneza hizo tires.

- Uzito wa chombo unapoongezeka pia mkandamizo kwenye tires unaongezeka, kwa experience yangu upana wa tires za gari dogo hautofautiani sana na upana wa tires za bus( huu upana ndio area inayoongelewa) japo kipenyo cha tires za bus ni kikubwa.
[emoji28][emoji28][emoji28] najifunza kupitia kwako mkuu!

Tuchukulie hizi tairi mbili (ya bus na ya trekta) hazijafungwa kwenye gari na ziko empty..

Zikijazwa upepo, nini kinafanya ya trekta iwe na mgandamizo mdogo kuliko ya bus? Naomba unieleweshe katika uhalisia

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Sielewi kabisa binafsi hii physics imenishinda, inakuaje Tairi la Gari normal Cars upepo wake kwa kutumia ile geji huwa zinaingia 30, 35 na nyingine kubwa kama cruser huingia 40, Baiskeli tairi lake kwa kutumia geji hiyo hiyo upepo wake unaingia 60, lile tairi kubwa kabisa la Trekta upepo wake unaingia 15 kwa kutumia Geji hiyo hiyo.

Nimewaza kuhusu kipenyo hapana haiingii akilini.

Je! Kuna siri gani ya physics kwenye hili?
Units za hizo namba ni zipi?
 
Unaelewa concept ya DENSITY kwenye ukubwa wa viwanja?? Yaan chenye lower density ni kikubwa kuliko chenye higher density.

Labda nikupe mfano rahisi tu. Tuseme tairi la Trekta lina uwezo au ujazo wa Units 5,000 za upepo lakini wewe ukaweka units 1,000 za upepo only. Hapo umeweka only 20% ya uwezo wake...

Hapa ndio umezid kunichanganya
 
[emoji28][emoji28][emoji28] najifunza kupitia kwako mkuu!

Tuchukulie hizi tairi mbili (ya bus na ya trekta) hazijafungwa kwenye gari na ziko empty..

Zikijazwa upepo, nini kinafanya ya trekta iwe na mgandamizo mdogo kuliko ya bus? Naomba unieleweshe katika uhalisia

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
- Upepo kwenye tire unaact kama cusion, kama tire isingekua na upepo say ingekua ya chuma pressure ingekua moja tu iliyo kati ya tire na ardhi. Lakini uwepo wa upepo unatengeneza pressure ya pili ambayo iko ndani ya tire.

- Ili gari itembee vizuri pressure ya ndani ya tire na ile ya nje zinatakiwa ziwe sawa( zitengeneze equilibrium), kama chombo inaexert pressure kubwa ardhini inamaana tires zake zitatengenezwa in such a way psi inakua kubwa pia. Ndio maana magari tofauti yanatumia tires tofauti.
Yani tire fulani wameicalibrate kiwandani iwe na psi fulani sababu inatumika kwenye gari zenye sifa fulani. Ndio maana gari ikizidishiwa mzigo tire zinaweza pasuka.

- Jibu la swali lako tunarudi kulekule, area kubwa pressure ndogo[emoji1][emoji1], shoka butu ata iwe nzito haiwezi kata sawa na shoka yenye makali.
 
Nafikiri hili ndo jibu
Unaelewa concept ya DENSITY kwenye ukubwa wa viwanja?? Yaan chenye lower density ni kikubwa kuliko chenye higher density.

Labda nikupe mfano rahisi tu. Tuseme tairi la Trekta lina uwezo au ujazo wa Units 5,000 za upepo lakini wewe ukaweka units 1,000 za upepo only. Hapo umeweka only 20% ya uwezo wake....
 
Mimi kwa taaluma sio Engineer ni Muhasibu, lkn kwa sababu majibu ya Maengineer hayaeleweki ngoja nijaribu kujibu kimtazamo wangu.
PSI definition: PSI is a unit of pressure expressed in pounds of force per square inch of area. Kwa nilivyoelewa unit of pressure iko constant kwa hiyo kinachobadilika ni area, na wote tunajua area ya tairi la baiskeli ni ndogo ukilinganisha na area ya tairi la gari au tractor.

Hivyo basi area inavyoongezeka PSI inapungua kwa sababu pressure iko constant haibadiliki na ndio sababu PSI ya tairi la baiskeli ni kubwa kwa sababu area yake ni ndogo.

Ni mtazamo wangu wa kihasibu[emoji3][emoji3][emoji2957][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mimi kwa taaluma sio Engineer ni Muhasibu, lkn kwa sababu majibu ya Maengineer hayaeleweki ngoja nijaribu kujibu kimtazamo wangu.
PSI definition: PSI is a unit of pressure expressed in pounds of force per square inch of area. Kwa nilivyoelewa unit of pressure iko constant kwa hiyo kinachobadilika ni area, na wote tunajua area ya tairi la baiskeli ni ndogo ukilinganisha na area ya tairi la gari au tractor. Hivyo basi area inavyoongezeka PSI inapungua kwa sababu pressure iko constant haibadiliki na ndio sababu PSI ya tairi la baiskeli ni kubwa kwa sababu area yake ni ndogo.
Ni mtazamo wangu wa kihasibu[emoji3][emoji3][emoji2957][emoji3][emoji3][emoji3]
Tairi la vits vs land cruiser ?
 
Ebu tuanze na Volume & Pressure.
- the greater the Volume of air in the tyre, the less Pressure it can withstand.
Kwa hiyo kutokana na Ukubwa wa tairi la trekta, Pressure itakuwa ndogo ukilinganisha na tairi la baiskeli ambalo Volume yake ni ndogo.
hii fizikia ya wapi we mzee?

Capo Dei Capi
 
Back
Top Bottom