Tairi ya Gari upepo ni 35, Baiskeli ni 60 na Trekta lile kubwa kabisa ni 15.60. Why and How?

Post no 25 ndiyo jibu ila kwa kujazia tairi la tractor linawekwa pressure kidogo sababu tractor halina spring so mneso wake uko kwenye hilo tairi ukiweka pressure above 50 dereva utakiona cha moto
mzee baba hilo sio jibu hata kidogo

Capo Dei Capi
 
Tairi la baiskeli lina ukubwa mdogo pamoja na eneo dogo linalogusa chini (area of contact) hivyo uzito unaokwenda chini kutoka juu ya baiskeli huhitaji msaada zaidi due to its size it takes a small volume of air, so it is compressed to a higher pressure. In a similar way, the weight of a tractor is spread over a much larger contact area, so that area does not need as much pressure to support the machine, so correspondingly a lower pressure is applied.

Size is the key. A large area = low pressure, A small area = high pressure.
 

Nimefuatikia comment zako, nadhani wewe ndo ulisoma Physics kuliko wengine waliokomenti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…