HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Wakati ni huu, akishindwa wakati huu ambao US na Allies wametoa sana Ukraine hataweza.Kwa kinachoendelea Ukraine dhidi ya Russia Kwa sasa siioni China ikiivamia Taiwani,Labda baadae sana
Maana Taiwan lazima ataanza military build up ili kujilinda. Kiufupi anajiweka defence mode zaidi...