financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Usijali na wewe ni mmoja wao mkuu, sema hiyo sigara sasa🙄Haya bhana kwa raha zenu
Bila hii mambo hayaendi[emoji85]Usijali na wewe ni mmoja wao mkuu, sema hiyo sigara sasa[emoji849]
Acha tu ,Rafiki kipenziVipi rafiki yangu kipenzi..umekabwa na nini[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwahiyo madai yake unataka kufa na kihoro Rafik yanguAcha tu ,Rafiki kipenzi
Hahahaha, hapana ,nilitaka kumjua mshindi na avatar tajwa ,hilo tu Rafiki kipenziKwahiyo madai yake unataka kufa na kihoro Rafik yangu
Hahahaha, Mkuu kuwa mpole km sisi wengine tuKwahiyo mimi ndio sijulikani kabisa?? Duh nimefatilia mwanzo hadi sasa hakuna alienikumbuka! Muda wa kupunguza shobo kwa watu sasa!!
Hujaacha hizi tabia? Ukioneshwa mkono utarudi kuomba kuona full pic with emoj, ukipewa utasema emoj mbona kubwa 😁Nimekukumbuka mpenzi[emoji7][emoji8]
Ka Avatar kako kananivutia,natamani nikuone hata PM [emoji7]
Duh, jaribu bila hiyo uone mambo yanavoenda zaidi ,hutoamini 😀Bila hii mambo hayaendi[emoji85]
Mbona hujaweka sababu dada 😀 leo itabidi nikukunywe #saint Anne wine 🍷
Hapa sasa nimeshindwa kuwa mpole!Hahahaha, Mkuu kuwa mpole km sisi wengine tu
Mkuu mimi na wewe bila bila [emoji2986][emoji2986]Nikipendwa mnijuze
Zote hizo tatu isipokuwa HalotelTigo, Voda, Airtel ama Halotel...??
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] Umejua kunifurahisha my queen, uishi maisha marefu tukiendelea kusherekea baraka alizotupa mwenyezi Mungu Cheers [emoji1635] to my baby mamaThe king himself[emoji146], baba mjengo mwenye hekima zake[emoji847]