We basta wewe..unanini kwani ee sinakuuliza..π π πHahahah sahizi nimesogea karibu na huduma si unajua mwezi wa mwisho ndio huu aki tena nilipo ni buku 3 tu.πππππ Penye mnara wa Mwanajeshi hapa.(Maji ni uhai)
Bado bila bila mkuuNikipendwa mnijuze
Jirani yangu si bora nikuzimikie wewe najua uko na kibiriti cha gesi utaniwasha..Hivi hujatajwa tu na Chakorii kitoto kinakuzimikia hicho mpaka huwa kunafananisha watu na wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unachelewa sasa anza harakati kabebeshe hata mimbaKitoto hiko kina mbwembwe balaa. Kinanimaliza na lips umate umate [emoji23][emoji23][emoji23] ila ndio hivyo tena.
Hahahaha mi nina upendo lukuki tu ila ugonjwa wangu ni lips umate mate hizo π hebu nipe tiba-dauwa mremboWe basta wewe..unanini kwani ee sinakuuliza..π π π
Nakupenda wewe sio yeye.Kwani wewe humpendi Anorld, ukimpemda Anorld umenipenda mimi.
Bila kupepesa macho utakuwa ni wewe au unaonajeπ π πHaiwezekani upende movie za Anorld, so naona tu sio mimi.
Anakufaa sana kwa upande wa wanaume humu namuelewa sana kijana Extrovert nenda nae taratibu hutajutiaJirani yangu si bora nikuzimikie wewe najua uko na kibiriti cha gesi utaniwasha..
Hiki unachotaka kunipa ni balaa zito kama yale mabovu ya North Korea kwa mapanki.
Nikichemka kidogo nitachambwa kihip-hop mpka nijutree[emoji28][emoji28]
Nina hamu nikapige pacha 3 kapate kuinjoy maternityUnachelewa sasa anza harakati kabebeshe hata mimba
Eti kitoto nyie watu nyieeee nawazoom tu endeleeni kudanganyika na mwandiko wanguπ π πKitoto hiko kina mbwembwe balaa. Kinanimaliza na lips umate umate πππ ila ndio hivyo tena.
Haina mbaya huenda tunachat na yule mkuu wa wilaya πEti kitoto nyie watu nyieeee nawazoom tu endeleeni kudanganyika na mwandiko wanguπ π π
Heheheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..jambo!piemu!subiri hapo hapo nakujaAya sikufokei tena...Ukuje kwa Private nina jambo langu nataka nikwambie ila siri yako πππ
Hahahah kwahio mi balaa zito...Waswahili wanasema Shauliloo!!!Jirani yangu si bora nikuzimikie wewe najua uko na kibiriti cha gesi utaniwasha..
Hiki unachotaka kunipa ni balaa zito kama yale mabovu ya North Korea kwa mapanki.
Nikichemka kidogo nitachambwa kihip-hop mpka nijutreeπ π
πππjirani yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah aya banaTatizo lako na wewe unapoteaga sna jukwaani loh.mpka tunakusahau
Mwambie anitilie hiyo mimba kwenye commentπ πUnachelewa sasa anza harakati kabebeshe hata mimba
π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺhivi dokta mwaka huko hana tawi eeHahahaha mi nina upendo lukuki tu ila ugonjwa wangu ni lips umate mate hizo π hebu nipe tiba-dauwa mrembo
Yaan zote hizi zinakusisimuaa ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈ Si unasisimka mno jamani πππ
Wewe endelea kumwelewa jirani yangu sawa eee..huyo anafaana na yule katideluna sijui nimepatia jina ama laa..aaaaa hilo jina litajijua kwenye we lisinichosheAnakufaa sana kwa upande wa wanaume humu namuelewa sana kijana Extrovert nenda nae taratibu hutajutia