Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

Hahahah sahizi nimesogea karibu na huduma si unajua mwezi wa mwisho ndio huu aki tena nilipo ni buku 3 tu.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Penye mnara wa Mwanajeshi hapa.(Maji ni uhai)
We basta wewe..unanini kwani ee sinakuuliza..πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Hivi hujatajwa tu na Chakorii kitoto kinakuzimikia hicho mpaka huwa kunafananisha watu na wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jirani yangu si bora nikuzimikie wewe najua uko na kibiriti cha gesi utaniwasha..

Hiki unachotaka kunipa ni balaa zito kama yale mabovu ya North Korea kwa mapanki.
Nikichemka kidogo nitachambwa kihip-hop mpka nijutreeπŸ˜…πŸ˜…
 
Jirani yangu si bora nikuzimikie wewe najua uko na kibiriti cha gesi utaniwasha..

Hiki unachotaka kunipa ni balaa zito kama yale mabovu ya North Korea kwa mapanki.
Nikichemka kidogo nitachambwa kihip-hop mpka nijutree[emoji28][emoji28]
Anakufaa sana kwa upande wa wanaume humu namuelewa sana kijana Extrovert nenda nae taratibu hutajutia
 
Jirani yangu si bora nikuzimikie wewe najua uko na kibiriti cha gesi utaniwasha..

Hiki unachotaka kunipa ni balaa zito kama yale mabovu ya North Korea kwa mapanki.
Nikichemka kidogo nitachambwa kihip-hop mpka nijutreeπŸ˜…πŸ˜…
Hahahah kwahio mi balaa zito...Waswahili wanasema Shauliloo!!!
Utapiga teke furushi la mahaba acha uzembe.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Anakufaa sana kwa upande wa wanaume humu namuelewa sana kijana Extrovert nenda nae taratibu hutajutia
Wewe endelea kumwelewa jirani yangu sawa eee..huyo anafaana na yule katideluna sijui nimepatia jina ama laa..aaaaa hilo jina litajijua kwenye we lisinichoshe
 
Back
Top Bottom