Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Duuh...mrembo heshimu cheo chako cha udogo....Anza wewe kutuma[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh...mrembo heshimu cheo chako cha udogo....Anza wewe kutuma[emoji23][emoji23]
Nimepita Mdogo wangu.. Ahsante.
Ili kunirahisishia kazi...maana wewe umenisumbua muda mrefu.
Nikajua unamsimulia nilivyokutongoza hadi nilipoishia kisha nifanye kumalizia tu.
Hahaha.Saint Anne sio wa kutongozwa...ni wakuchumbia....na kuoa...
Pita mbali kama huna nia ya kuchumbia.
Pepo lako la kuchovywa chovywa lishindwe na kulegea.....Hahaha.
Hata haonjeshi?
Kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saint Anne sio wa kutongozwa...ni wakuchumbia....na kuoa...
Pita mbali kama huna nia ya kuchumbia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuh...mrembo heshimu cheo chako cha udogo....
Si chovyi...tunaonjana....tukikutana watamu...tunabebana.Pepo lako la kuchovywa chovywa lishindwe na kulegea.....
Haha...eti nasubiri.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitumie Basi, nasubiri
Nyota anayo ila hajali wala nini . Sasa mimi the way he act like hajaona huwa ndio nampenda zaidi 😂😂😂😂Daa jamaa ana nyota sana
[emoji1][emoji1][emoji1] bado ninachekwa daaaah[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimefurah sanaaaa kumbe nawee hujabukiwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SijaionaHaha...eti nasubiri.....
Fungua PM nishatuma.
Barafu hiyo ina kazi nyingi [emoji12]Ice bwana[emoji28]
Yako kiboko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2296][emoji2296]Hadi mimi??
Mtunuku basi eti