Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
dah huwa napenda kusoma vitabu au kucheza game.Nayo kukaa kimya asubuhi mpaka usiku huongei ni kisanga!!🤣🤣
Ila Kuna Saa una ona, vibe hakuna kabisa😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah huwa napenda kusoma vitabu au kucheza game.Nayo kukaa kimya asubuhi mpaka usiku huongei ni kisanga!!🤣🤣
Case [emoji735]Live the life u love,love the life u live,
Sio lazima wote tuishi kwa kuigana,kila mtu yupo huru kuishi atakavyo na kwa jinsi itakavyompa furaha.
Yap man!! Hata mimi napenda kusoma vitabu ila kuna wakati unaona kabisa havipandi, ndo huwa navaa natoka zangu maana naona vinanichanganya🤣🤣🙌🏻dah huwa napenda kusoma vitabu au kucheza game.
Ila Kuna Saa una ona, vibe hakuna kabisa😆
ILA yote ya yote, maisha ya kuishi mwenyewe raha sana tena ukizoea aisee hata demu akija sometimes unahisi kero!!😁dah huwa napenda kusoma vitabu au kucheza game.
Ila Kuna Saa una ona, vibe hakuna kabisa😆
Uwe unaimba
kusema ukweli nime zoea kukaa mwenyewe, Niki endaga home au wao wakija kwangu.ILA yote ya yote, maisha ya kuishi mwenyewe raha sana tena ukizoea aisee hata demu akija sometimes unahisi kero!!😁
Sema nime jiwekea ka ratiba ka kukutana na wazee fulani.Yap man!! Hata mimi napenda kusoma vitabu ila kuna wakati unaona kabisa havipandi, ndo huwa navaa natoka zangu maana naona vinanichanganya🤣🤣🙌🏻
Kama wewe huwezi usifikiri wote hawawezi.sijawahi kuona faida ya kuishi mwenyewe..... ubinafsi uoga wa maisha na kutokua mwanaume kamili kunawaponza sana vijana wenzetu ukiangalia sababu nyingi ni uoga na ubinafsi alafu swala la uhuru ni jambo pana sana...
huwezi niambia nilale mwenyewe kama panga au nikae dinning mwenyewe kama mjusi Kisa uhuru sjui kunyetuka..... tukumbuke kama mwanaume ww ndio Mkurugenzi wa maisha yako unalotaka liwe litakua usikurupuke tu ukaona maisha machungu.....
Nafikiri furaha nipatayo na wanangu eti nianze kukaa mwenyewe alooo siwezi......
Ukiona hivyo ujue unalazimisha maisha yasiyo yako.Jomba uko sahihi, sometimes una hisi kuna kitu kina pungua.
Aisee hii ni hatarii.
Hiyo nzuri sana,Sema nime jiwekea ka ratiba ka kukutana na wazee fulani.
Tuna piga story Sana, na kupata maziwa.
Ukiona unasumbuliwa na kitu kinachoitwa upweke ujue unalazimisha maisha yasiyo upande wako.Baada ya 14 years of marriage na vita visivyokoma Nilikubali kuwa mjinga
Nikamuachia kila kitu Kwa sababu ya watoto wangu. Nikaondondoka na Gari yangu na nguo tu. Nikaenda kupangisha Nikanunua fenicha nikaanza maisha upya kabisa from 0
Huu ni mwaka wa Tatu tangu nimekuwa Bachelor. Niko huru Sana. Nina furaha Sana
Ila sikuwahi kujua kuna kitu linaitwa Upweke
Hiyo hali ikija unatamani utafute tu mahali
hapafungwi usiku ukakae hapo
Upweke Ni tatizo lingine Na Nikifikiri kuoa upya Ndio naona narudi kule kule
Oa tu kijanaTRUE MAN!!, Kama kusingekuwa na hii Hali ya upweke ningemaliza haya maisha yangu ya duniani peme yangu😁 isee
Upweke hauja wahi Kuna mbabe, halafu kukaa mwenyewe mi langu na sio lako mkuuUkiona hivyo ujue unalazimisha maisha yasiyo yako.
Ukioa wewe BRAZA! inatosha kabisa🙌🏻😁Oa tu kijana
kunyetuka ndio nini mkuu?Nakuwa huru kunyetuka mda wowote ule ninaotaka, ninyetuke sebuleni, chumbani au chooni, ni kwangu, naishi mwenyewe 🤒😎
Oya Uhuru wana ujuaji kweli🤓🤣Ukioa wewe BRAZA! inatosha kabisa🙌🏻😁
Hahaaaaa🤣, braza kasahau kwamba duniani hatukushushwa na kitabu cha maelekezo!! Style ya maisha unaichagua wewe mwenyewe!!Oya Uhuru wana ujuaji kweli🤓🤣
Ukiona unasumbuliwa na upweke ujue maisha ya peke yako si aina ya maisha yaliyo upande wako.Upweke hauja wahi Kuna mbabe, halafu kukaa mwenyewe mi langu na sio lako mkuu
Basi tafuta partner wa kukuondolea upweke maana unajitesa tu kwa maisha ya namna hiyo.Ukioa wewe BRAZA! inatosha kabisa🙌🏻😁