technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Binafsi nilishanazwa na kushindwa kuzuia mgao wa maji na umeme pamoja na kuwa imepita miaka 61 ya uhuru na bado hatuna suluhisho kwani hata mwakani ukame ukija bado tutakosa maji na umeme.
Wewe ni maajabu gani umeyaona mwaka 2022?
Wewe ni maajabu gani umeyaona mwaka 2022?