Ndio, huby anaifunga.Kwa hiyo shemeji pm yako inaenda kufungwa kweli?
Koh koh
Haya mwambie akuzibe hadi mdomo na kwengineoNdio, huby anaifunga.
Nitamvunja mguu...asifikirie hata kuifikiriaKwani ya mkeo nani ana shida nayo?
Haya.Haya mwambie akuzibe hadi mdomo na kwengineo
Kwanza hana hata shida nae.Nitamvunja mguu...asifikirie hata kuifikiria
Shemeji sijui unatoa wapi ujasiri wa kunifungia pm...basi acha niingie halafu afunge nibakie huko ndaniHaya.
Kwanza hana hata shida nae.
Njoo nikufundishe uchawi na mimi nitamsahau mkeo na sitakuwa na shida naye.mkeo ni nani
na nani anashida naye??
Nakuona na huku upo piaTuwaseme
unashangaa kufungiwa pmShemeji sijui unatoa wapi ujasiri wa kunifungia pm...basi acha niingie halafu afunge nibakie huko ndani
Labda sio mkeo mama haambiliki. Sijui umemuambukiza domo hawezi kunyamaza [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]unashangaa kufungiwa pm
ngoja ni update relationship agreement utakua huongei naye kabisa