dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Uzee kamanda ndio mana kawa hivo, umepiga mwaka gan hapoAlikua mwalimu wangu wa Taalum Mirambo shule ya msing siku hizi kawa mpolee sana
2000......yes...Ume maliza mwaka gan???? Lugalo ya jesh
Wilolesi Pr school Iringa kulikuwa na Mwalimu anaitwa Ndumbalo jamaa alikuwa poa sana Ila ukimchokoza hizo bakora zake utatamani uache shule.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nikakuchagua ili tuzae watoto wenye akilihahahaha ! huo ni ukweli my dear ! mie ht ukiniona tu unajua huyu sio zwazwa ! lol
Nakujua huko baby ni bush sanajaman nimechekaaaa!hahaha sasa unamuuliza hvyo ajibu nn hahah !mie nadhan naongoza kusoma vijijin nakumbuka 80%wanafunzi walikua na funza miguu imepinda na hawana viatu hahhahhahhaha uwiii jaman ACHA MUNGU ASHUKURIWE TU !