dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
kwa mpiga miti lindi
Zanaki Primary School
Bombo primary school Tanga
Duh..hung'umalwa naskia napo umesomaNG'WABAGOLE UPPER PRIMARY SCHOOL, PRIVATE BAG NGUDU-KWIMBA, LAKE PROVINCE,TANGANYIKA TERRITORY.
Kilimanjaro Primary school(Moshi ) class of 1987-Tulifaulu zaidi ya nusu ya darasa( 70%) kwenda sekondari za serikali
Koromije Primary School
Sent From My Nokia Ya Tochi
ILI UTRACE BACK WE TISSHebu tuzikumbuke Shule zetu za msingi tulizosoma miaka hiyo na Jambo gani ambalo hutalisahau?
Aidha si vibaya ukasema ulikuwa unashika Nafasi ya ngapi.
Karibuni!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo moshi mkoa wa kilimanjaro mkabala na chuo cha polisi moshi (CCP)Samahani ipo maeneo gani hii shule bro??