Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,415
MAWENZI PRIMARY SCHOOL
MOSHI MJINI- KILIMANJARO
Wewe utakuwa ulikuwa unkaa mitaa ya Uswahilini bila shaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MAWENZI PRIMARY SCHOOL
MOSHI MJINI- KILIMANJARO
Wewe utakuwa ulikuwa unkaa mitaa ya Uswahilini bila shaka.
No.... Mjohoroni Karibu na Sango.
Basi lilikuwa moja tu linalopita kwetu lilikuwa likiitwa MBUGUNI. Linatokea Kirua, ukilichelewa basi.
Kulikuwa na vinusu mkate - mfano wa hiace vya akina mzee Kashunga na Saleko, hivi viliishia Mdawi au Mbwa Haruki.
Ukivikosa unatembea KM 6 Mpaka KIBORILONI, Pale ndo kulikuwa na soko na Mabasi Mengi.
Nauli Mtu Mzima Shilingi 20, Dent Shilingi 5
Kitu nimeanzia segerea primary nilipofika la tano nikahamia maendeleo ni shule moja ziligawanyishwa... Nakumbuka nilikua mtoro sana siku moja mwalimu alituma kundi la darasa la 7 waje kunikamata chimbo hapo nilikua la tano sitahasau aisee maana nilidakwa pamoja na kukimbia kote. Enzi hizo teacher kajiru ni HM.
Xmass Boy.
Nipo kisukuru Mkuu.uko wapi sasa hv ndugu maana ndio nafundisha hapa maendeleo
ok! pamoja sanaNipo kisukuru Mkuu.
Xmass Boy.