Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

Sikusoma Primary School!

Hii sio nzuri kwa afya ya mlaji!!
 
Rangi tatu shule ya msingi mbagala


Kule alikoenda kufundisha roma mkatoliki
 
shule ya msingi Yamu-kirua vunjo, katika kipindi chetu tulitembelewa na wageni wa serikal,mama zakia megji, pr sarungi na mkuu wa mkoa kipindi hicho. tulipewa nguruwe wa mradi
wakati fulani zilipita parachut 2 mwalim mkuu akagonga kengele ishara ya kitu chaajabu ambacho hakijawai kushuhudiwa na mtu yoyote, tulijificha chini ya madawati na waalimu.
duuuuu
 
Back
Top Bottom