Ndio, siku hizi najiita NAHUJA, nimebatizwa kwenye ubatizo wa maji moto hahahahahahhahahahKumbe umebadili username?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, siku hizi najiita NAHUJA, nimebatizwa kwenye ubatizo wa maji moto hahahahahahhahahahKumbe umebadili username?
Ume maliza mwaka gan???? Lugalo ya jeshLugalo.
Mbiti kumbe kichwani uko timamu sana! Hongera mama napenda wadada tulip front lineIdetero primary school ! nimewah kuwa no 11 darasa la 3 niliugua sana pumu kwa miez 5 nyumbani! lakini miaka yoote nilikua namba 1/2! standard seven tulifaulu mimi na kaka mmoja anaitwa Fred! nilikua naongoza kiwilaya ! asante Mwalimu NDELWA!
Mwl.chavara nilisoma tution yake ya hesabu mwalimu mkali sana yule alikua anakaa mwenge magorofani saiv sijui kastaafuLugalo (enz za Mwl Buchwa,Julius,Asinyo) & Mirambo primary enz za kina Kinyogori,Chavala,Stev na kipara
Ahaaa.....mwalimu mzur wa hesabu yule jamaaa kanifundisha yule mzee hapana bado aja staafu kwa sasa ana ishi Lugalo freti za Mwenge amehama tuition ulipiga mwaka ganiMwl.chavara nilisoma tution yake ya hesabu mwalimu mkali sana yule alikua anakaa mwenge magorofani saiv sijui kastaafu
Mwaka 2005 kamanda nilipigaAhaaa.....mwalimu mzur wa hesabu yule jamaaa kanifundisha yule mzee hapana bado aja staafu kwa sasa ana ishi Lugalo freti za Mwenge amehama tuition ulipiga mwaka gani
Sawa mkuu NAHUJA, tutajitahidi kuzoea.Ndio, siku hizi najiita NAHUJA, nimebatizwa kwenye ubatizo wa maji moto hahahahahahhahahah
Mbiti kumbe kichwani uko timamu sana! Hongera mama napenda wadada tulip front line
Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri sana ! Ndivyo tunavyotakiwa tuwe yaani mwanaume akimkemea mtoto kwa kufeli asiseme "muone kwanza una akili kama za mama yako" hapo wako lazima atuliehahahaha ! huo ni ukweli my dear ! mie ht ukiniona tu unajua huyu sio zwazwa ! lol