Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

Wilaya maskini zaidi nchini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nimesoma Kolomije Primary,nikaenda Seco Misungwi nikapiga zero. Nikaenda Mwanza kurudia wapiii,nikanunua jina la Paul kujiunga na Chuo,kisha huyoooo MuccoBs Moshi na ma-disco na masap ya kufikia tu

Nikazama kwenye chama kujipenyeza penyeza mara RC. Mimi ni nani?
Kuna ngoma mpya ya msanii GAZA kafanya na Madee! Ngoma inaitwa NANII! Kwenye hiyo ngoma Gaza na Madee "wamekutaja!"
 
Nimesoma Kolomije Primary,nikaenda Seco Misungwi nikapiga zero. Nikaenda Mwanza kurudia wapiii,nikanunua jina la Paul kujiunga na Chuo,kisha huyoooo MuccoBs Moshi na ma-disco na masap ya kufikia tu

Nikazama kwenye chama kujipenyeza penyeza mara RC. Mimi ni nani?
Hahaha we ndo yule wa kuitwa bashite?
 
Makurumla Primary School
Magomeni Mwembechai
Kata ya Ndugumbi
Kinondoni
 
Kuna ngoma mpya ya msanii GAZA kafanya na Madee! Ngoma inaitwa NANII! Kwenye hiyo ngoma Gaza na Madee "wamekutaja!"
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Hawezi ku naniii mpaka apake naniiii
 
Matare shule ya msingi iko Serengeti, mkoa wa mara, nilimaliza hapo 1975.
 
Aisee kitambo sana KIAGATA PRIMARY SCHOOL huko Mara wilaya Musoma vijijini aisee kitambo sana
 
Back
Top Bottom