Taja kiongozi ambaye hayupo kwenye historia yetu unataka nchi imtambue

Taja kiongozi ambaye hayupo kwenye historia yetu unataka nchi imtambue

Sipend waislam wanavyoidharau vita vya majimaji..historia iliyoficha Ile vita ilikua ni jihad,mjeruman alidhamiria kuufuta uislam kuanzia iringa mpaka huko songea..kiukwel mjeruman Cha moto alikiona haswaaaa ila teknolojia ilimbeba mjerumani(matumizi ya bunduki vs vishale). Wale akina songea mbano wote walikua kwenye jihad ya kuupigania uislam...

Kufupisha stori hawakuwa Wana sema maji Bali walitaja jina la Allah

Mshindi ndiye anayeandika historia

Note. hii ni ndoto

Utaacha lini upotoshaji na uongo,
 
Sipend waislam wanavyoidharau vita vya majimaji..historia iliyoficha Ile vita ilikua ni jihad,mjeruman alidhamiria kuufuta uislam kuanzia iringa mpaka huko songea..kiukwel mjeruman Cha moto alikiona haswaaaa ila teknolojia ilimbeba mjerumani(matumizi ya bunduki vs vishale). Wale akina songea mbano wote walikua kwenye jihad ya kuupigania uislam...

Kufupisha stori hawakuwa Wana sema maji Bali walitaja jina la Allah

Mshindi ndiye anayeandika historia

Note. hii ni ndoto
Kwan history hio si imeshaelezwa sana. Aliyeongoza mapambano kwa kuhamasisha ni Abdulrauf songea Mbano
 
WanaJF,

Wakati tunaendelea kumshukuru Mh. Rais wetu, Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wa Bi. Titi Mohamed najua tuna viongozi wengi ambao sisi vijana wa miaka ya 1990s au kabla hatuwajui sababu mfumo uliwaficha. Hii ni sababu aliyepo madarakani ndio huwa anaandika historia anavyotaka isomeke miaka ya mbeleni.

Sisi kama wanaJF tunaweza tukawaonyesha wengine viongozi ambao walisaidia nchi yetu na hata kuwatambua posthumously.

Nawasilisha
Majinge,Kusaga,Kulebha,Mukama na Manumbu.
 
Huyo bibi titi mbona tunamfahamu na historia yake inafahamika mpaka barabara imepewa jina lake.

Sasa sijui mleta mada unataka hao watu wako waenziwe namna gani?

Au unataka tuwe tunakwenda kuhiji kwenye makaburi yao.

Wabongo kwa kupenda sifa tumezidi.
 
Back
Top Bottom