nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Christopher Kasanga Tumbo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha Alex Magesa Kusaga ama Rugemalila?Alaf Kuna yule mwamba wa clouds tulimzikaga km ndg etu wa damu
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kumbe ndivyo uzi utakavyo?Ungeweka majina mawili na kutaja mchango wao kwa maendeleo ya Tanzania ungeeleweka vizuri
Tofautisha "kiongozi" na "mwanasiasa;" Inawezekana ulitaka kusema mwanasiasa lakini ukasema kiongozi.WanaJF,
Wakati tunaendelea kumshukuru Mh. Rais wetu, Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wa Bi. Titi Mohamed najua tuna viongozi wengi ambao sisi vijana wa miaka ya 1990s au kabla hatuwajui sababu mfumo uliwaficha. Hii ni sababu aliyepo madarakani ndio huwa anaandika historia anavyotaka isomeke miaka ya mbeleni.
Sisi kama wanaJF tunaweza tukawaonyesha wengine viongozi ambao walisaidia nchi yetu na hata kuwatambua posthumously.
Nawasilisha
Siku serikali yangu itakapomtambua rasmi katibu mkuu wa kwanza wa TANU, Ndg Oscar Kambona ndiyo nitaamini iko fairWanaJF,
Wakati tunaendelea kumshukuru Mh. Rais wetu, Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wa Bi. Titi Mohamed najua tuna viongozi wengi ambao sisi vijana wa miaka ya 1990s au kabla hatuwajui sababu mfumo uliwaficha. Hii ni sababu aliyepo madarakani ndio huwa anaandika historia anavyotaka isomeke miaka ya mbeleni.
Sisi kama wanaJF tunaweza tukawaonyesha wengine viongozi ambao walisaidia nchi yetu na hata kuwatambua posthumously.
Nawasilisha
Kwahiyo Allah aliwakimbiaSipend waislam wanavyoidharau vita vya majimaji..historia iliyoficha Ile vita ilikua ni jihad,mjeruman alidhamiria kuufuta uislam kuanzia iringa mpaka huko songea..kiukwel mjeruman Cha moto alikiona haswaaaa ila teknolojia ilimbeba mjerumani(matumizi ya bunduki vs vishale). Wale akina songea mbano wote walikua kwenye jihad ya kuupigania uislam...
Kufupisha stori hawakuwa Wana sema maji Bali walitaja jina la Allah
Mshindi ndiye anayeandika historia
Note. hii ni ndoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaan tumbo linaniuma skuu ya nne sijapata choo hata kutoa upepo nkra kitu kdogo linajaa
Dosa Azizi Ali na John RupiaDr mwanamalunfi
Abdulwahid Sykes na Mwapachu familyBob makani,shelembi mwanabyola
BIBI TITI MKOMBOZI WA TAIFAWanaJF,
Wakati tunaendelea kumshukuru Mh. Rais wetu, Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wa Bi. Titi Mohamed najua tuna viongozi wengi ambao sisi vijana wa miaka ya 1990s au kabla hatuwajui sababu mfumo uliwaficha. Hii ni sababu aliyepo madarakani ndio huwa anaandika historia anavyotaka isomeke miaka ya mbeleni.
Sisi kama wanaJF tunaweza tukawaonyesha wengine viongozi ambao walisaidia nchi yetu na hata kuwatambua posthumously.
Nawasilisha
Kiongozi yoyote kwenye nyanja zote za kumkomboa mtanzania, hasa yule anaye-risk maisha yakeTofautisha "kiongozi" na "mwanasiasa;" Inawezekana ulitaka kusema mwanasiasa lakini ukasema kiongozi.
kunywa juice ya ukwajuJamaan tumbo linaniuma skuu ya nne sijapata choo hata kutoa upepo nkra kitu kdogo linajaa
kwani hili taifa limekombolewa kweli. sidhaniBIBI TITI MKOMBOZI WA TAIFA
Ukombozi wa benderakwani hili taifa limekombolewa kweli. sidhani
Chukua ukwaju nusu kilo,uoshe vizuri.Kisha utumbukize kwenye kwenye sufuria yenye maji lita moja.Uache uchemke kama dk 15 hivi kisha ipua,chuja vizuri kisha weka sukari kidogo ili kuongeza; acha juisi ipoe kidogo.Kunywa hiyo juisi tumbo likiwa tupu kabisa.Hii juisi itakwenda kuvunjavunja ugumu woote na tumbo kuunguruma.Hakikisha huendi kazini siku hiyo maana utatoa sana gesi/hewa.Ndani ya masaa 24 tu utakwenda 'kuteremsha' mzigo wa kutosha.Jamaan tumbo linaniuma skuu ya nne sijapata choo hata kutoa upepo nkra kitu kdogo linajaa
Kiongozi wa nini. Kuna viongozi wa migomo, viongozi majambazi, viongozi wa madanguro etc.Kiongozi yoyote kwenye nyanja zote za kumkomboa mtanzania, hasa yule anaye-risk maisha yake