jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Sipend waislam wanavyoidharau vita vya majimaji..historia iliyoficha Ile vita ilikua ni jihad,mjeruman alidhamiria kuufuta uislam kuanzia iringa mpaka huko songea..kiukwel mjeruman Cha moto alikiona haswaaaa ila teknolojia ilimbeba mjerumani(matumizi ya bunduki vs vishale). Wale akina songea mbano wote walikua kwenye jihad ya kuupigania uislam...
Kufupisha stori hawakuwa Wana sema maji Bali walitaja jina la Allah
Mshindi ndiye anayeandika historia
Note. hii ni ndoto
Nenda jukwaa la afya.Jamaan tumbo linaniuma skuu ya nne sijapata choo hata kutoa upepo nkra kitu kdogo linajaa
Achana na wake za watu utanishukuru.Jamaan tumbo linaniuma skuu ya nne sijapata choo hata kutoa upepo nkra kitu kdogo linajaa
Nani mpotoshaji hapo,wewe au yeye??Utaacha lini upotoshaji na uongo,
Kwan history hio si imeshaelezwa sana. Aliyeongoza mapambano kwa kuhamasisha ni Abdulrauf songea MbanoSipend waislam wanavyoidharau vita vya majimaji..historia iliyoficha Ile vita ilikua ni jihad,mjeruman alidhamiria kuufuta uislam kuanzia iringa mpaka huko songea..kiukwel mjeruman Cha moto alikiona haswaaaa ila teknolojia ilimbeba mjerumani(matumizi ya bunduki vs vishale). Wale akina songea mbano wote walikua kwenye jihad ya kuupigania uislam...
Kufupisha stori hawakuwa Wana sema maji Bali walitaja jina la Allah
Mshindi ndiye anayeandika historia
Note. hii ni ndoto
Dr mwanamalunfi
Kwan history hio si imeshaelezwa sana. Aliyeongoza mapambano kwa kuhamasisha ni Abdulrauf songea Mbano
Okelo wa showJohn okello
Gavana wa kwanza wa benki kuu ya Tanzania na muasisi wa mfumo wa fedha kitaifa wa Tanzania huru.
Majinge,Kusaga,Kulebha,Mukama na Manumbu.WanaJF,
Wakati tunaendelea kumshukuru Mh. Rais wetu, Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wa Bi. Titi Mohamed najua tuna viongozi wengi ambao sisi vijana wa miaka ya 1990s au kabla hatuwajui sababu mfumo uliwaficha. Hii ni sababu aliyepo madarakani ndio huwa anaandika historia anavyotaka isomeke miaka ya mbeleni.
Sisi kama wanaJF tunaweza tukawaonyesha wengine viongozi ambao walisaidia nchi yetu na hata kuwatambua posthumously.
Nawasilisha
Ungeweka majina mawili na kutaja mchango wao kwa maendeleo ya Tanzania ungeeleweka vizuriMajinge,Kusaga,Kulebha,Mukama na Manumbu.
Alaf Kuna yule mwamba wa clouds tulimzikaga km ndg etu wa damuMajinge,Kusaga,Kulebha,Mukama na Manumbu.
ππ¨π¨π¨Feld marshal John okelo baba wa taifa la zanzibar