Taja kipaji chochote unachokiona kwa mwana JF mwenzako

Sibadili mawazo hiyo ni kweli kabisa.

Asante kwa kunigongea ka-love. Acha niscreenshot maana unaweza badilisha ukaweka thumbs up.
 
Hapana mzeya. Kugongewa ni kitu normal kabisa kwanza wala hupaswi kuwa na wivu pale mbususu ya mkeo inasasambuliwa. Sii mali yake
💯🤝 ukikumbuka pia na wewe unagonga mbususu za wanawake wengine na kuna vidume vinawahudumia ndo kabisa hata haikuumizi
 
Mi namkubali Habib a.k.a THE BOLD ,Sjui amepotelea wapi
 
Mama amoni - Huwa-anaandika makala nzuri mnoo, zilizobeba falsafa ndani yake,
Zilizosheheni Mantiki!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…