Taja kipaji chochote unachokiona kwa mwana JF mwenzako

Yes.
Isingekuwa hivo majambazi, malaya, mafisadi nao tungeita wana vipaji

Kuna kipaji na kazi.
Kazi LAZIMA iwe productive lakini kipaji sio lazima.
Ingawaje kipaji wakati mwingine huwa kazi.
Ila wengine vipaji huweza kuvitumia kama hobby tuu yaani hata isipozalisha Kwa watu lakini Kwa Mhusika inamzalishia furaha.

Mfano, kuna watu wanakipaji cha kuimba na wanaimba lakini sio Productive kifedha Ila wanaburudisha watu makanisani.
Wakati huohuo kuna waimbaji wenye vipaji wamejiajiri au kuajiriwa kupitia kipaji cha kuimba na kujipatia Fedha.
 
Kipaji lazima kiwe productive au kiwe na potential ya kuproduce, ila mtu anaweza kuwa nacho na asikitumie kuzalisha.
Mfano mzuri ni wako huo huo, mtu anaeweza kuimba ana kipaji, lakini hata kama hajaamua kukitumia kutafuta hela, haimaanishi akiamua kukitumia kupata hela anakosa.

Mfano mwingine, mtu anaweza kuwa na kipaji cha mpira ila hajapata chance ya kukitumia kupata hela.
Vipaji vyote lazima viwe na potential ya kuzalisha.

Sio eti mtu anaweza kutukana matusi makubwa makubwa ndio ukaita kipaji.

Kuchekesha zamani haikuwa kipaji, ila walipoanza kupata hela comedians ikawa career inayoeleweka. ndio hapo kuchekesha ikawa kipaji.
 
Kwahiyo mimi babu sukari ya warembo kupitia mafao ya kustaafu hujaniona?
 
Na sasa ni marufuku kutazama maigizo ya tamthilia
 
Kuna wenye vipaji vya kujibadilisha jinsia wao niwanaume ila nyuma yapazia wanajiita majina yakike sielewagi wanatakaga kitugani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…