Taja madeni yako: Je, unadaiwa kiasi/ kitu gani?

Mimi bora nidaiwe kuliko kudai.. naogopa kudai sijui kwann, imagije nishawahi kumkimbia mtu ninayemdai..

Unaweza jua ni chai hii but ndio hali halisi yangu..Very Shy kwenye kuomba
Khaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahahaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…