Kwamba mauzo take ni zaidi yale ya mboga za kibabe?Teh Teh Teh Teh!
Zamani ilikuwa hizi mboga mboga wanakula wauswahilini ila ndio vyakula vinauzika mahotel makubwa boss wangu.
β Uyoga
β Mlenda
Guys hebu sibirini kwanza,
-Nsasa,
-Solilo,
-Pitiku,
Ndio nini?
Ha ha ha pitiku...utakuwa wa kusini weweGuys hebu sibirini kwanza,
-Nsasa,
-Solilo,
-Pitiku,
Ndio nini?
Kwamba mauzo take ni zaidi yale ya mboga za kibabe?
Mboga Saba ugali kitenesi.pitiku Ni majani ya mabogaGuys hebu sibirini kwanza,
-Nsasa,
-Solilo,
-Pitiku,
Ndio nini?
Mnakulaga hiyo mmekua sungura?Hakuna kama kimakamaka!πΆπΆπΆ