Ipo ndugu yangu acha dharau wanaojua mpira hawailetei dharau. We unadhani ni timu gani duniani ikiambiwa inatakiwa kucheza na England itachekelea kwamba imepata kibonde?Sasa england kuna timu pale? Hawajaahi ifunga timu kùbwa hivi karibuni...labda frindlies.
Basi yaishe wapenzi wa Brazil ni wabishiSasa kama hawafungiki kirahisi means wametwaa kombe,kombe gani,? Wameshacheza fainali ya kombe loolote hivi karibuni na kuvaa medali hata ya mshindi wa pili?
Hapo Ally mtoni ni saizi yake mkuuAlly mtoni
Hapo Ally mtoni ni saizi yake mkuu
Yanga nao ni sawa na Lipuli tu alikotoka.
Ujaona yanga wanamsajili hadi Ali Ali.
Hahaha dharau hizoHapo Ally mtoni ni saizi yake mkuu
Yanga nao ni sawa na Lipuli tu alikotoka.
Ujaona yanga wanamsajili hadi Ali Ali.
Lucas Vazquez - Real Madrid
Humiliating166666666⅞666 6bocco
Lingaard hamna kituSasa kama hawafungiki kirahisi means wametwaa kombe,kombe gani,? Wameshacheza fainali ya kombe loolote hivi karibuni na kuvaa medali hata ya mshindi wa pili?
barca ambae alikuwa hajui ni paulinhoBoateng Barcelona.
Toa bangi hapaUmekosea mkuu, yanga sio timu kubwa!! Molinga hapo ni saizi yake!