Taja Members wa JamiiForums ambao unadhani kwa ushindi mnono wa yanga fc wameumia na wanaweza wasionekane kwa muda hapa

Taja Members wa JamiiForums ambao unadhani kwa ushindi mnono wa yanga fc wameumia na wanaweza wasionekane kwa muda hapa

Mimi ni Simba ila kuna muda ntu useme tu ule ukweli,nyinyi mbwa mnatisha,ni wa moto hamshikiki.
kuna muda nikajisemea tu moyoni hawa ni Utopolo au Real Madrid,,,!

Yanga imekua timu ya kumaliza shughuli mapema tena kwa vigogo wa soka timu kutoka kaskazini.
haaaa,,,!!Hongereni sana Utopolo hamna baya umbwa nyinyi.
 
Mimi ni Simba ila kuna muda ntu useme tu ule ukweli,nyinyi mbwa mnatisha,ni wa moto hamshikiki.
kuna muda nikajisemea tu moyoni hawa ni Utopolo au Real Madrid,,,!

Yanga imekua timu ya kumaliza shughuli mapema tena kwa vigogo wa soka timu kutoka kaskazini.
haaaa,,,!!Hongereni sana Utopolo hamna baya umbwa nyinyi.
Asante umbwa wewe 🤣
 
Back
Top Bottom