Taja members waliokula ban nyingi hapa JF

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mi ban nishastaafu kuna kipindi mpk nilikoma aisee! Nilipewa onyo kali sana kucheza na moderators maana Kuna kitu niliwasingiziaga nikala ban na nikapewa vichambo vyangu so nimeamua if you can't fight them join them..[emoji28]
ilo onyo wanakutumia PM au? Kuna mengi ya kufahamu aisee! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu, hivi ukilimwa ban account yako inakuwa inafanana vipi? [emoji23][emoji23]

Anyway, ngoja nimtusi Mod mmoja hivi, nione ban linafanana vipi
Ukilimwa ban inakuwa ukichimama nchale, ukikaa nchale yani hamna kitu utafanya, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sema watu wa mifumo huwa tuna resseruct... BAN hainizuii kuishi jf
 
Nilitaka uliza same thing Extrovert kila siku sioni profile pic naona Banned hadi nikajua ameweka profile pic ya Banned.

Hafu mtu mwenyewe sasa mtu wa watu..
Ahaa! Kumbe profile picture ikiwa na logo ya banned inaonesha mtu huyo kapigwa ban?[emoji23][emoji23] Aisee! Mimi nilijua kuwa@Extrovert anaweka avatar ya namna hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…