Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣ni kweli kabisaNina nini tena... Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Huaga sinaga ubaya na mtu...
Amesema anaonewa Sana [emoji23][emoji23]Rubish huwa anajitafutia ban mwenyewe sababu ya uwezo wake Mdogo wa kuchambua na kubalance maneno mwishoni uswahili unampelekea kupata matatizo ya ban.
Hata huu Uzi sidhani Kama utamuacha salama au tumuulize GENTAMYCINE huenda tunaeza pata chochote kuhusu hii mada
Nia yako sio njema nikama unanielekezea kibra nile ban Kama Extro😂😂Sasa si tunandoto ya kuwa developed country........tozo zitatufanya tufike [emoji23][emoji23]
🤣yeap! Hiyo imekaa poa...atabanishwa soon as possible 😉.......Ana mfuatilia demu wa kiranja[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
😂😂😂😂We sio mtu mzuriUna akili Sana [emoji23][emoji23] umegundua mtego
Huyu jamaa zamani ukitaja jina lake zima data uingie jf kesho yake maana sio kwa mawe hayo atakayo kupopoa
😠🤥Lile jamaa lenye mipengo