Taja members waliokula ban nyingi hapa JF

Taja members waliokula ban nyingi hapa JF

Rubish huwa anajitafutia ban mwenyewe sababu ya uwezo wake Mdogo wa kuchambua na kubalance maneno mwishoni uswahili unampelekea kupata matatizo ya ban.

Hata huu Uzi sidhani Kama utamuacha salama au tumuulize GENTAMYCINE huenda tunaeza pata chochote kuhusu hii mada
Amesema anaonewa Sana [emoji23][emoji23]
 
 
Ilikua kipindi Cha JPM ndipo nilianza kua active sana 2020 nyuzi zangu nyingi zilionekana ni uchochezi 🙂 zilifutwaga sanaaa
japo hii account nilifungua 2016

Kuna kipindi Fulani ilikua niki andika thread zinafutwa....zinafutwa mpka nikaanza....KUONA mm ntakua na mawazo yasiyo kua ya kawaida.(Uchochezi).....🤓🤓🤣🤣🌝🌝😊
 
Back
Top Bottom