makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Tunaenda kuwaona kama tunavyotembelea ndugu zetu jela. 😂 😂Inabidi sasa hv mtu akipigwa ban tuonyeshwe wazi kua flani kapigwa ban na kosa lake specific ni hili hapa. Tena kwa hii interface mpya waweke kipengele cha "members with ban" tuwe tunaenda kuona na kujua kosa lao.