Eeeh we mtu kila mwezi huwa Nina umekula banπππWananioneaga tu mie mtu wa Mungu πππ
Hawajiskii raha hata kidogoEeeh we mtu kila mwezi huwa Nina umekula banπππ
Kwani unafanyaga nini?mbona we mstaarabu SanaππHawajiskii raha hata kidogo
Huwa anamtusi mama na kupinga ongezeko la tozo[emoji23][emoji23]ExtrovertKwani unafanyaga nini?mbona we mstaarabu Sana[emoji16][emoji16]
Hahahahahah tozo kiukweli zinanikera na kila nikikuta mada lazma nitie ndimuHa haaaaa kumbe ana mitusi!sijawahi Ina katukana,na hapo kwenye tozo naona analeta utani na dola
Aisee Kama Ni hivyo nakuunga mkono maana tunaoumia Ni watanzaniaHahahahahah tozo kiukweli zinanikera na kila nikikuta mada lazma nitie ndimu
Aisee Kama Ni hivyo nakuunga mkono maana tunaoumia Ni watanzania
π€£π€£π€£π€£Eti kiranja!sawasawaYah sasa siwezi kuwa soft nikiona mtu anashabikia mateso yangu. Not to that extent! Lazma nimwambie kitu ambacho kitamkera mara 2 mwishowe anakimbilia kwa kiranja kushtaki
Hanaga mambo mengiKumbe unampata vzr......
Kila comment yake Utasikia "subiri waje"[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu,,mbona Kama unapigilia msumari was moto kwenye kidonda?Mkuu....kwani unadhani nchi itajengwaje bila tozo.....nyie si mnataka tujitegemee