Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Eeeh we mtu kila mwezi huwa Nina umekula ban๐๐๐Wananioneaga tu mie mtu wa Mungu ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh we mtu kila mwezi huwa Nina umekula ban๐๐๐Wananioneaga tu mie mtu wa Mungu ๐๐๐
Hawajiskii raha hata kidogoEeeh we mtu kila mwezi huwa Nina umekula ban๐๐๐
Kwani unafanyaga nini?mbona we mstaarabu Sana๐๐Hawajiskii raha hata kidogo
Huwa anamtusi mama na kupinga ongezeko la tozo[emoji23][emoji23]ExtrovertKwani unafanyaga nini?mbona we mstaarabu Sana[emoji16][emoji16]
Hahahahahah tozo kiukweli zinanikera na kila nikikuta mada lazma nitie ndimuHa haaaaa kumbe ana mitusi!sijawahi Ina katukana,na hapo kwenye tozo naona analeta utani na dola
Aisee Kama Ni hivyo nakuunga mkono maana tunaoumia Ni watanzaniaHahahahahah tozo kiukweli zinanikera na kila nikikuta mada lazma nitie ndimu
Aisee Kama Ni hivyo nakuunga mkono maana tunaoumia Ni watanzania
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃEti kiranja!sawasawaYah sasa siwezi kuwa soft nikiona mtu anashabikia mateso yangu. Not to that extent! Lazma nimwambie kitu ambacho kitamkera mara 2 mwishowe anakimbilia kwa kiranja kushtaki
Hanaga mambo mengiKumbe unampata vzr......
Kila comment yake Utasikia "subiri waje"[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu,,mbona Kama unapigilia msumari was moto kwenye kidonda?Mkuu....kwani unadhani nchi itajengwaje bila tozo.....nyie si mnataka tujitegemee