Taja members waliokula ban nyingi hapa JF

Amesema anaonewa Sana [emoji23][emoji23]
 
 
Ilikua kipindi Cha JPM ndipo nilianza kua active sana 2020 nyuzi zangu nyingi zilionekana ni uchochezi 🙂 zilifutwaga sanaaa
japo hii account nilifungua 2016

Kuna kipindi Fulani ilikua niki andika thread zinafutwa....zinafutwa mpka nikaanza....KUONA mm ntakua na mawazo yasiyo kua ya kawaida.(Uchochezi).....🤓🤓🤣🤣🌝🌝😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…