Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Humu ndani wazima lakini?Najuwa tunapenda sana kutumia misemo ya wahenga katika maisha yetu lakini kuna misemo mingine haina maana.Tuorodheshe misemo ambayo haina tija kwa jamii ya sasa.
Samahanini wahenga;Mi naanza
Wa juu mngoje chini.
Nguo ya kuazima haisitiri mat*k*
Polepole ndo mwendo
Mtegemea vya ndugu hufa maskini
Kikulacho ki nguoni mwako
Weka na wewe yako
great thinker
Samahanini wahenga;Mi naanza
Wa juu mngoje chini.
Nguo ya kuazima haisitiri mat*k*
Polepole ndo mwendo
Mtegemea vya ndugu hufa maskini
Kikulacho ki nguoni mwako
Weka na wewe yako
great thinker